Deo Kisandu akacha siasa

Hapa ndugu umechemka sana.Sababu halisi si kutelekezwa inavyoonekana maana umechanganya story nyingi hadi UKAWA ndani.Jinsi ulivyojieleza hufai kwa chama chochote labda ukalime tu sasa.

Mkuu Msingida waombe radhi wakulima. Mbona shughuli ya kilimo mnaiona kama ya watu mbumbumbu sana?. Huyu Kisandu hafai kwa lolote na hata degree yake sijui aliipataje! Hivi mtu heading anaandika"sababu za kujivua uanachama" then ndani yake anaingiza aya ya kutoa maoni yake kuhusu bajeti ya serikali,huyo anatimamu kweli? Eti ndg zake wamemkatalia siasa halafu tena anajichanganya kwamba atajiunga na chama muda ukifika! Ni boya sana huyu na mimi naona Sekuco/Sekomu wangemvua tu degree yake(najua sheria hairuhusu ila busara itumike) maana anakiaibisha chuo hicho.
 
Last edited by a moderator:
Unavuna ulichokipanda, dhambi ya usaliti itawatafuna popote muendapo, mala unasingizia Chadema sijui inafanyaje, sasa umeanza kuisingizia NCCR, hiyo ni dhambi ya usaliti inayokutafuna, acha kutapatapa, mulaumu Kibalaka wa ccm Zitto kabwe aliyewapoteza ambaye naye kashapoteana.
 
sipati picha hao watoto watakaofundishwa na kisanduku.mungu aepushie mbali

kumbe ni mwalimu huyu punguwani? sasa badala ya kwenda kufundisha alidhani siasa ndio njia ya mkato ya utajili?

nadhani ushauri wangu kwake na kwa mtela mwampamba wakaombe ajila za ualimu kwenye siasa si sehemu ya kusaka tonge.
 
Alipo anza tu kuitukana NCCR nikajua kitakachofuatia ni hiki na ninajua kitakacho fuatia baadae ni kipi!!!

CCM mpokeeni mtu wenu
 
Ningempa mdogo wangu wa darasa la saba kazi ya kuandika insha akaandika kitu hakijapangiliwa wala hakina mantiki kama hiki, nadhani nitashauri anyimwe chakula home kwa siku 2...
 
Sikutaka ku~log In, Ila kwakua nimeona kinyesi humu acha nishiriki kukisafisha .
Kisandu miaka mitatu hivi nyuma ulipojitoa CDM na kujiunga NCCR ndio ilikua mara yangu ya kwanza kukusikia, Ila moyoni kwakua,ulitangazwa hadi magazetini nikajua wewe ni Mwanasiasa mahiri mithiri ya kina Kafulila.

Ambacho nimekiona kwamo ni kitu kidogo tu , Umekua msaliti wa Nafsi yako , Na hilo ndilo kosa kubwa litakalotesa moyo na nafsi yako kwa miaka mingi Ijayo.
Ulifanya siasa kama njia ya kusaka,mafanikio ya haraka. Hapa hukuwa na subira wala simile kila mtu akijitokeza kugusa kila unachoamini kuwa ni njia yako ya kupiga bingo.

Siasa unayojaribu kushiriki ni siasa hafifu mnoo . siasa ya kulia na kudeka kila mara, siasa yako si sehemu yabufumbuzi wa matatizo.

NccR hawana cha kupoteza kwa kuondoka kwako ila gunia la kinyesi,lilosogezwa mbali. Nafikiri wala hawana chakujuta bali kujilaumu kwakutumiaka kama kokoro la kuokota kila mwanasiasa aliefukuzwa atokako kisha kumoa madaraka na kumuamini kama walivyofanya kwa huyu Kisandu.

Basi, Uende , uende , Uende siasa si Kitu cha kipuuzi kama kiwango chako cga,kufikiri kilivyo
 
KATIBA MPYA: Maoni ya S2 ni maoni ya wananchi na maoni ya S3 ni maoni ya wananchi! I pray that hiyo ajali haikutengua pia mendulla oblongota yako. Kwenye katiba mpya you have sucked a lot!
 
CCM mimi nawasifu sana kwa kazi nzuri wanayoifanya kwa vijana wajinga wajinga kama KISANDU. Huna tofauti na ile mipira yetu ile. la kukushauri kijana kisandu kwa vile njaa ndio inayokusumbua wewe nenda kwa ccm wezi wenzako mkashirikiane vizuri kuwaibia watanzania maana huna jipya. Hivyo vyama 22 unavyovitetea vinafanana na wewe,viko pale kuua vyama vya upinzani vyenye nguvu. kama unaona ni vyma vya upinzani nenda kajiunge navyo Wewe kwa sasa ni useless
 
Kisandu is worthless, infact worthless like a toilet paper.
 
Huyu Deogratias Kisandu ndio nani? Mbona alalamika kutibiwa na NCCR, analilia buku kumi?
 
Huyu Deogratias Kisandu ndio nani? Mbona alalamika kutibiwa na NCCR, analilia buku kumi?

Huyu ni kijana mtiifu wa chama kilichomtuma awe mamluki kwenye vyama vya upinzani. Alitangulia kutoka miguu badala ya kichwa. Hamjui babaye halisi wa kumzaa. Unataka kujua zaidi ya hapo?
 
Dah!Kaka yangu,ndugu yangu,swahiba wangu Mhe.Mwl.Deogratius Pio Kisandu...

Hatimae yamekufika,ila kwa style hii ya uandishi wa press yako sijaipenda na wewe ni Mwl.wa sekondari tena mwenye degree ya Special Education mahili wa kiswahili,kama wewe umeshindwa kupangilia press yako,watoto wetu unawafundishaje au ndo stress za ajali?!

Kosa ulilokosewa NCCR ni dogo sana na kama wewe ulikuwa mpiganaji wa kweli hiyo sio sababu ya kukuondoa kwenye chama ambacho misngi yake unaiamini na kuitumikia.

Suala la wewe kuweka mambo ya bajeti na UKAWA kwenye press yako pia linazidi kutatanisha tu kwani mantiki ya press yako ni ipi hasa?Ukisema UKAWA na CCM wakae meza moja unataka wapitishe yapi?Kwani maoni ya wananchi ni kuwa na muundo wa serikali 3 na CCM hawana muda,ni yupi ajirudi na arejee kwenye matakwa ya wananchi?

Karibu Mwamala sekondari kwa mara nyingine tena ama unabaki Mkolani Sekondari tu?!! Pole kaka yangu.
 

Bwana Deo,

Pole sana na ajali iliyokupata. Sasa nimeamini kuwa kweli ulipata ajali. Na sii ajali ndogo kama unavyofikiri. Inaonekana imeathiri mpaka mpaka ubongo na huenda ubongo ulitikisika ukaathiri hata uwezo wa kufikiri. Nikiangalia taarifa yako imejaa mambo ambayo kwa mtu mwenye uwezo wa kufikiri, kuna hoja ambazo asingezitoa.

Kwenye suala la bajeti na wewe umelalamika na kukosoa tu. Huajatoa suluhisho. Au ndo tuite nyani haoni kundule?

Suala la Ukawa umeviuliza hivyo vyama vingine kwa nini havijajiunga vikakwambia kuwa vilizuiwa? Kama memory centre yako haijaathiriwa na ajali unakumbuka alichokisema Isack Cheyo na Peter Mziray ndani ya Bunge la katiba baada ya wana Ukawa kutoka? Una uhakika kuwa Ukawa ni vyama vitatu tu? DP, NLD si vyama vya upinzani?

Familia inayo kila haki kukuzuia kuendelea na siasa maana unawaaibisha kwa unachoandika. Subiri familia ikutibu kwanza, ukishapata kumbukumbu vizuri najua hawatakuzuia kuendelea na siasa.
 

Familia itatibu nini maana ubongo wake haupo sawa.Huyo anywe vidonge tu vya kupunguza hayo matatizo yake ya ubongo namaanisha uchizi.
 
Familia itatibu nini maana ubongo wake haupo sawa.Huyo anywe vidonge tu vya kupunguza hayo matatizo yake ya ubongo namaanisha uchizi.

Alikumbwa na ile kitu wataalam mnaiita "brein konkashen" ila yake imemuacha na pumzi ndo maana tunaona anaropokaropoka hapa.
 
Akiibuka tena utamsikia kwenye majukwaa ya CCM. I knew this was coming!!!!


Sent from my iPhone using JamiiForums app

Jamaa toka akiwa cdm anapenda kujitangaza sana..

Kuna wakati alidai anawania urais kupitia cdm.
 
wewe ni mstaarabu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…