Mnyakatari
JF-Expert Member
- Oct 25, 2010
- 2,027
- 1,791
Huyu sasa anataka kufukuzwa CCM,maana jamaa hawachelewi kumwita Dodoma kwa mahojiano kama walivyofanya kwa mtangulizi wake marehemu Horace Kolimba.
Mtangulizi wake kivipi?
Huyu sasa anataka kufukuzwa CCM,maana jamaa hawachelewi kumwita Dodoma kwa mahojiano kama walivyofanya kwa mtangulizi wake marehemu Horace Kolimba.
Marehemu horace Kolimba alikuwa mbunge wa Ludewa kabla ya kufikwa na mauti.Deo Filikunjombe ni mbunge wa Ludewa kwa sasa!!Mtangulizi wake kivipi?
Kwahiyo sio mtangulizi wake.Mtangulizi wake ni Prof.Raphael Mwalyosi.Marehemu horace Kolimba alikuwa mbunge wa Ludewa kabla ya kufikwa na mauti.Deo Filikunjombe ni mbunge wa Ludewa kwa sasa!!
Zamani watu waliamini dunia ni kama meza na ukingoni ndo unakuta maji, aliyekuja kupinga alichinjwa na utawala wa warumi. Huyu jamaa atakutana na wakati mgumu sana lakini mawazo yake yanaweza likomboa taifa la tanganyika kama mandela alivyoikomboa south afrika. Deo_tupo nyuma yakoHivi punde katika Kongamano ya miaka 51 baada ya uhuru, mwasiasa machachari na mbuge wa Ludewa Mh. Deo Filikunjombe ametoboa ukweli kuwa kuna kasumba na dhana potofu miongoni mwa watanzania wakidhani kuwa nchi hii (Tanzania) ni mali ya CCM. Hii nchi si mali ya CCM bali ya watanzania. Nimeipenda sana hiyo. Nape unayedhani kuwa hii nchi ni mali ya CCM umepotea, pata hiyo shule.
Hivi punde katika Kongamano ya miaka 51 baada ya uhuru, mwasiasa machachari na mbuge wa Ludewa Mh. Deo Filikunjombe ametoboa ukweli kuwa kuna kasumba na dhana potofu miongoni mwa watanzania wakidhani kuwa nchi hii (Tanzania) ni mali ya CCM. Hii nchi si mali ya CCM bali ya watanzania. Nimeipenda sana hiyo. Nape unayedhani kuwa hii nchi ni mali ya CCM umepotea, pata hiyo shule.
Huyu anavyo jiamini akija huko kwenu hamalizi miezi mitatu,lazima atafukuzwa kwenye chama. Si ndio style yenu mpya,ukimpinga Slaa basi lazima ufukuzwe CDM.filikunjombi baba njoo cdm achana na machichidodo na uchichidodo:sleepy:
JM kilaza namba moja. Mzee Butiku busara tele. Makamanda Esther Wasira, Deo Filikunjombe, Majjid Mjengwa wamechana ile mbaya waki-reflect kizazi bora kijacho kwa uongozi wa taifa letu na sio wale mapacha wapumbavu waliokazania rais ajaye lazima awe post-1961. Tunahitaji kusikia tutavukaje hapa tulipo kama taifa na sio umri wa rais ajaye uweje!