polokwane
JF-Expert Member
- Dec 16, 2018
- 3,362
- 5,809
Mradi gani mkubwa ulikamilika bwasheeWewe ndio mlevi hivi jk na magu nani kajenga miradi mingi na ikakamilika japo .magu hakukaa miaka kumi?
Mradi gani mkubwa ulikamilika bwasheeWewe ndio mlevi hivi jk na magu nani kajenga miradi mingi na ikakamilika japo .magu hakukaa miaka kumi?
We jamaa hesabu zipo kichwani kweli!?82 tr? Kwahiyo tumekaribia 1 quad (1 Quadrillion)!
Je, linalingana na maendeleo tuliyonayo? Au tupanue Magereza?
Hahahaa huyo aliye kuwa anasema tunajenga kwa vyanzo vya ndani kumbe muongo , vyombo gani vili report mikopo ya magufuli we jamaa wewe.Kuna watu ni wehu, Magufuli alikopa huo ukweli na Wala mkopo haukua Siri, vyombo vya habari vilireport
Vipi umeshawahi kuathiriwa vipi na deni la taifa?Nimeona wengi wamekua na mkanganyiko sana kuhusu deni la taifa, lakini hii naona ni changamoto kwa wanahabari.
Wanahabari wanapaswa kuweka sawa ila hawajafanya hivyo kwa sababu wanazojua wao na sijui ni kwa nini.
Deni la taifa sio kitu Cha Siri, kwa maana report zinatoka kila mwezi kupitia BOT ni suala tu la kuingia kusoma na kujua basi.
Deni la taifa kwa sasa ni trillion 82 na Wala sio trillion 70 kama alivyosema Spika Ndugai na nadhani alipitiwa kidogo.
Deni la nje (external debt) ni trillion 64.4
Na Deni la ndani(domestic debt) ni Trillion 17.6 na jumla yake ndio hiyo trillion 82.
Ukweli ni kuwa deni linakua kwa kasi ya mwanga, maana speed ya kukopa ipo vizuri.
Na inakadiriwa katika miaka miwili ijayo litakuwa zaidi ya trillion 100
Pia soma: Thread 'Balile: Magufuli katutenda, deni la nje lafikia shilingi Trillion 78' Balile: Magufuli katutenda, deni la nje lafikia shilingi Trillion 78
Nawasilisha
View attachment 2062505View attachment 2062506
Pumbavu wewe izo trioni 11umezitoa wapi wewe malayaMkuu mama samia hadi sasa kakopa trillion 11
My diagnosis reveals that you encountered “Meconium Aspiration” that caused you “Birth Asphyxia”Huwa sina kawaida ya kubishana na masikini au mafukara watu ambao wanaishi duniani bila ramani, nitashusha hadhi yangu.
Sitakujibu tena.
When the destitute (you) talks to the rich (I) he must plan and strategize his communication by choosing the best wisdom out of the weird. You have critically flopped in that.Huwa sina kawaida ya kubishana na masikini au mafukara watu ambao wanaishi duniani bila ramani, nitashusha hadhi yangu.
Sitakujibu tena.
Mkuu,We jamaa hesabu zipo kichwani kweli!?
Kwahio trend kama asipowekwa chini ya uangalizi mkali miez 20 ijayo atakua amevuka den la jk la miaka yake 10Data hizi zipo wazi na sijui kwa nini wengi hamtaki kabisa kujishughulisha nazo.
Magufuli jumla alikopa trillion 28
Kikwete jumla alikopa trillion 33
Mama Samia hadi sasa trillion 11
Kutokana na report ya B.oT riba zimejumuishwa.
Kwa kifupi deni la mama halina ribs maana yamefanyika msjumuisho ya mkwanja ambao amepokea.
Narudia tena, huwa sina mazoezi kabisa na watu masikini wasiojitambua kama wewe. Kitendo cha kushindwa kijikita kwenye mada kinaonyesha how desperate you're.When the destitute (you) talks to the rich (I) he must plan and strategize his communication by choosing the best wisdom out of the weird. You have critically flopped in that.
How does the feaces negatively impact the brain, and how does it causes limited supply of oxygen?My diagnosis reveals that you encountered “Meconium Aspiration” that caused you “Birth Asphyxia”
In simple terms that your lame brain may understand is that: you sipped uterus discharge of the abrasion; diluted with fetus’ first faeces during your birth which critically negatively impacted on your brain for limited supply of oxygen. Ask your wife not to date me in your funeral.
Mkuu riba ni sehemu ya deni.unapoenda bank kukopa 1M ambayo utatakiwa kurejesha baada ya miezi na riba yake ya Tshs 200,000 hapo inahesabika hela unayodaiwa ni 1,200,000 na sio 1M tena.Kwa maana hyo siyo sahihi kusema magu alikopa 28t na pia siyo sahihi kusema mama kashakopa 11t basi...au siyo mkuu
Mkuku nimegundua hii platform imejaa watu walio na hasira sana n'a Hayati kiasi kwamba wanapambana kila baya liwe lake.Mkuu riba ni sehemu ya deni.unapoenda bank kukopa 1M ambayo utatakiwa kurejesha baada ya miezi na riba yake ya Tshs 200,000 hapo inahesabika hela unayodaiwa ni 1,200,000 na sio 1M tena.
Hao ni wahuni wanao ona fahari nchi kudidimia ni binadamu wa kuuliwa na kutupwa wakiwa uchi mbele ya familia zao ,Sasa Unakasirika nin na huo ndiyo ukweli,
Kwan Magufuli tokea amevuta mwaka umeisha?sasa hilo deni la trillion 71 kutoka trillion thelathin limetoka wapi,kakopa Samia ndan ya hii miez michache?? kwann hamtak kuukubali ukweli?jamaa yenu jiwe alikuwa malaioa Kwan?
Hivi kadi ya kuwa zuzu inapatikana wapi ? maana ninao mpango wa kuwa mbunge.We utakuwa sio mtanzania ujue, watanzania wengi vilaza vilaza hawana akili km zako
Kumbe tunaongelea Deni.....nilidhani tulikuwa tunaongelea tumekopa kiasi gani....kukopa na kudaiwa ni sawa.???Mkuu riba ni sehemu ya deni.unapoenda bank kukopa 1M ambayo utatakiwa kurejesha baada ya miezi na riba yake ya Tshs 200,000 hapo inahesabika hela unayodaiwa ni 1,200,000 na sio 1M tena.
WAHUNI HAWAWEZI KUKUELEWA WATAJIFANYASiyo sahihi....mleta mada amesema kwa mujibu wa bot Deni la taifa limefika 82t na akasema magu aliacha Deni likiwa 71t...kwa maana ikaanza kusemekana mama kakopa 11t....Sasa wanasema kwenye report za bot wanainclude na riba pia wanapotoa taarifa za Deni la taifa...kwa maana hyo inawezekana sio kweli kuwa magu alikopa 28t kama ambavo inasemekana maana kwenye hyo 71t aliyoacha magu riba imewekwa. Na kwa jinsi hyo siyo kweli kuwa mama kashakopa 11t maana kwenye hyo 88t kwenye report ya bot riba imejumuishwa pia. Mkuu Mimi sipo kishabiki ninachotaka ni uhalisia....Haya maneno ya kwenye kanga ya wanasiasa Mimi Wala sipo nao kabisa.
Unfortunately, I’m unable to dictate yr choice of treatment to me, that ability inhabits you, as such, my attitude and reaction are based on yr choice of the kind of treatment you feel I deserve. You set the fire that you cannot extinguish!Narudia tena, huwa sina mazoezi kabisa na watu masikini wasiojitambua kama wewe. Kitendo cha kushindwa kijikita kwenye mada kinaonyesha how desperate you're.