Denda haina madhara kimahaba...

Denda haina madhara kimahaba...

Denda ni hatari zaidi maana mdomoni kuna bacteria si chini ya asilimia 95 ni rahisi sana kupata maambukizi.
 
Kwa taarifa yako .... Mtu anapofariki sehemu ya kwanza kuoza au kuharibika ni mdomo ikiunganika na utumbo
Kwani wapi umeambiwa tunaenda kupigana denda kaburini?!


Huko tutakuta raha zingine
 
Siku sio nyingi huyu atakuwa na hadhi sawa na JPM, Mbowe, Mbatia na ZZK..kwa maana ya wote watakuwa viongozi wa vyama vya siasa!

Haya!
 
Wachaa denda iitwe denda
Wasio pendaa hii
Kitu

Watakua wagonjwa
 
Inaelezwa kwamba bacteria wanaopatikana katika kinywa cha binadamu ni hatari zaidi ya wale wanaopatikana chooni? Kama ni kweli denda moja ya hatari zinazoleta magonjwa ya meno
Hasa vidudu vya H.Pylori vinavyoleta vidonda vya tumbo. Usimle denda mwenye ugonjwa wa vidonda vya tumbo
 
Siasa sukumu vyote mapenzi waachie Wengine, , anyway

√Pia denda raha yake upate mwenye kamdomo kadogo its like unakula strawberry vyekundu

√kero yake inakujanga kwa bad smell asee,its better kutumia mouth wash, madhara inakuja kuleta break up
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom