Eeka Mangi
JF-Expert Member
- Jul 27, 2008
- 3,173
- 481
- Thread starter
- #21
Kwa kusahau huyo mume wangu namjua mwenyewe nimemuaga na nauli kanipa na kanopeleka ubungo mwenyewe nashangaa eti kasahau leo.............................
Naona analake jambo tu hana lolote........................
EEEEEEEeee kweli nimekumbuka! Unajuwa nilikuwa nawahi kunako kikao!