Kimey
JF-Expert Member
- Mar 25, 2009
- 4,117
- 831
Hebu turudi kule kwa Waume wavivu hapa naona makabaila wengi!aaaaa jamani Kimey...yaani unataka tukuanzishie sredi na wewe..!!!
Hebu turudi kule kwa Waume wavivu hapa naona makabaila wengi!aaaaa jamani Kimey...yaani unataka tukuanzishie sredi na wewe..!!!
Mkuu hata mimi sielewi
Pole sans Dena.Nataman kujua kulikoni..
Kuna sala nimekutumia kwenye PM isali huyu Dena atafunguliwa
Mchungaji, unazidi kujiongezea vyeo tu, sijui ndo katika kuelekea utakatifu? karibu utajiita Askofu
Kazi za kiroho vyeo haviendi na mapato! Ila na wewe mchunguzi sana
sasa si inabidi kuwachunguza wale wanaotufanya tubarikiwe! ni kwa mema tu Rev Fr.
Subiri zaka, siku si nyingi nitakuleteaKwa kweli hebu fikiria fikiria unaweza nitunuku chochote mimi Mch nitafurahi tu!
Subiri zaka, siku si nyingi nitakuletea
Rev Masa Kwaresma imekaribia kuna kundi la watu linataka kuja kutubu utakuwa unapatikana wapi??
OOohh ngoja nianze kwenda gym nisije shindwa mambo maana nyie vijana mhhhhhh
hakuna haja ya gym Rev. tutaenda kwa pace yako........................ sitaki kesi ya mauaji
Rev Masa Kwaresma imekaribia kuna kundi la watu linataka kuja kutubu utakuwa unapatikana wapi??
Na huu umri! Naogopa vunjwa viungo....nitasema nini kwa mama mchungaji?
ndo nakuambia hutavunjika kiuno. tutatumia manual, gia namba 1
Yaani ukisema hvyo ndo nahc kufa kbs jamani DENA AMSI bora hata wangeniban mie umefanya nini jamani umekua mpiganaji wangu mkubwa popote ulipo ntasimama kwa niaba yako.Aaaahhh jamani? No! no!no! Ntammiss sana juzi jana tu alikuwa busy na Kokudo.
Ahaaaa ahaaaa FP banaaarafiki, au ndo kaamua aondoke baada ya BE kupotea? usikute hii ban ni kwa ajili ya kumtafuta BE