Kaunga
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 12,530
- 13,469
Sawa, sasa na mimi nitapata hamu? I mean ku peas!
kupeas maana yake nini? Na ni lugha gani?
Sawa, sasa na mimi nitapata hamu? I mean ku peas!
Yani kinywaji chake ni waini ila ikimkolea ni balaa! Bora umkimbie! Mpaka namwogopa! Kama hajakunywa aaa! Hana hamu! Nifanyeje? Niokoeni jamani!