Demu wa Kizaramo na Kiluguru muulize uko wapi

Muite

JF-Expert Member
Sep 10, 2013
2,342
4,801
Nimekuwa katika mahusiano na mademu wa jamii mbalimbali, lakini baada ya kupata demu wa kizaramo na baadae mluguru nimepata experience kubwa sana:

Yaani kila unapokutana naye au kumpigia simu kuwa yupo wapi au alikwenda wapi UTASIKIA NILIKWENDA/ NAKWENDA KWENYE MSIBA WA FULANI na ikitokea upo naye mnaongea halafu akapigiwa simu na rafiki yake utakuta lazima waongelee msiba wa fulani na fulani. Yaaani Mwaka mzima unakuta movement zake ni za hivyo.

Hakika kiimani na ubinadamu ni jambo jema sana na hawa ndugu zetu katika hili wanalizingatia sana.

Yaani wewe mpigie tu simu muulize upo wapi
 
Nimekuwa katika mahusiano na mademu wa jamii mbalimbali, lakini baada ya kupata demu wa kizaramo na baadae mluguru nimepata experience kubwa sana:

Yaani kila unapokutana naye au kumpigia simu kuwa yupo wapi au alikwenda wapi UTASIKIA NILIKWENDA/ NAKWENDA KWENYE MSIBA WA FULANI na ikitokea upo naye mnaongea halafu akapigiwa simu na rafiki yake utakuta lazima waongelee msiba wa fulani na fulani. Yaaani Mwaka mzima unakuta movement zake ni za hivyo.

Hakika kiimani na ubinadamu ni jambo jema sana na hawa ndugu zetu katika hili wanalizingatia sana.

Yaani wewe mpigie tu simu muulize upo wapi


Ni kweli, hata kama hakuna msiba atajibu hivyo.
 
Nipo nao huku kwao.

Achana na kupigiwa simu, ukikaa karibu na Mzaramo asilimia kubwa ya mazungumzo ni misiba kama siyo msiba basi shughuli.

Mzaramo kama mwenzake haendi kwenye shughuli yake basi huyu mwenzake akiwa na shughuli basi naye analipiza kutokwenda.

Kikubwa huku kwao ni misiba na inafululiza sana😭

Katika taaluma ya Maendeleo ya Jamii inasema vifo vya mara kwa mara kwenye jamii husika ni moja ya kiashiria cha umasikini.
 
Nipo nao huku kwao.

Achana na kupigiwa simu, ukikaa karibu na Mzaramo asilimia kubwa ya mazungumzo ni misiba kama siyo msiba basi shughuli.

Mzaramo kama mwenzake haendi kwenye shughuli yake basi huyu mwenzake akiwa na shughuli basi naye analipiza kutokwenda.

Kikubwa huku kwao ni misiba na inafululiza sana😭

Katika taaluma ya Maendeleo ya Jamii inasema vifo vya mara kwa mara kwenye jamii husika ni moja ya kiashiria cha umasikini.
Bibi samahani nimeshajibu👆👆😊
Hivi kwanini mnapenda sana kuingilia life za watu?

Jibu hoja au kaa kimya. Usiwavae waleta hoja.
 
Nimekuwa katika mahusiano na mademu wa jamii mbalimbali, lakini baada ya kupata demu wa kizaramo na baadae mluguru nimepata experience kubwa sana:

Yaani kila unapokutana naye au kumpigia simu kuwa yupo wapi au alikwenda wapi UTASIKIA NILIKWENDA/ NAKWENDA KWENYE MSIBA WA FULANI na ikitokea upo naye mnaongea halafu akapigiwa simu na rafiki yake utakuta lazima waongelee msiba wa fulani na fulani. Yaaani Mwaka mzima unakuta movement zake ni za hivyo.

Hakika kiimani na ubinadamu ni jambo jema sana na hawa ndugu zetu katika hili wanalizingatia sana.

Yaani wewe mpigie tu simu muulize upo wapi
Hawafai hawa na wenzao Wakwere, ni mavi yale yale tu
 
Back
Top Bottom