kalou
JF-Expert Member
- Aug 22, 2009
- 4,992
- 3,879
Haya wana MMU naomba tushirikiane kwenye hii mistari ya Niki wa Pili,
Mungu nijalie demu mpenda pesa
,kila siku nipigane kuwa bakhresa
,
Asinipende mimi apende verosa
Wana wamegewa wengi ndio kitu wamekosa,
Malighafi ya suruali si boxer
Siri nyingi mahali dingi alikosa
Demu wa shida na raha na misoto sana,
Huyo demu hanifai changamoto
hana.
Ikiwa demu wako anapenda vidogo
Uwezi kuwa na vingi na kuwa
kigogo
Demu amsifie sana bosi wangu
Nikasirike kesho nijenge kiwanda
changu,
Sitaki demu wa kitanga jioni moja
kanga,
Tayari amejipanga kwa mabusu
mangapi,
Demu nayemtaka manka wa kichaga
jioni anaulizaga umeingiza sh ngapi.
Haya wazoefu, hawa wadada wapenda pesa/mafanikio/vitu vikubwa kweli ni bora kuliko wale wa "nakupenda hata kama huna kitu"
Mungu nijalie demu mpenda pesa
,kila siku nipigane kuwa bakhresa
,
Asinipende mimi apende verosa
Wana wamegewa wengi ndio kitu wamekosa,
Malighafi ya suruali si boxer
Siri nyingi mahali dingi alikosa
Demu wa shida na raha na misoto sana,
Huyo demu hanifai changamoto
hana.
Ikiwa demu wako anapenda vidogo
Uwezi kuwa na vingi na kuwa
kigogo
Demu amsifie sana bosi wangu
Nikasirike kesho nijenge kiwanda
changu,
Sitaki demu wa kitanga jioni moja
kanga,
Tayari amejipanga kwa mabusu
mangapi,
Demu nayemtaka manka wa kichaga
jioni anaulizaga umeingiza sh ngapi.
Haya wazoefu, hawa wadada wapenda pesa/mafanikio/vitu vikubwa kweli ni bora kuliko wale wa "nakupenda hata kama huna kitu"