Nyegezi hiyo Mwanza,hapa sasa hivi tunapata zetu sato na sima kisha nikamtafutie guest maeneo ya buzuruga,hahaha kwani mlikuwa mnaongea kizanaki hebu nambie mmefika wapi sasa...kwa kifupi yashinde majaribu
siku hizi,wadada hata mshipa wa aibu hawana
Ni kweli mkuu huyu jamaa kaota au kafikiri maana siti zenyewe hazina mwanya huo
Mkuu labda huyo dem ni mbilikimo.
Nyegezi hiyo Mwanza,hapa sasa hivi tunapata zetu sato na sima kisha nikamtafutie guest maeneo ya buzuruga,
Sasa anataka nimkampani mpaka morning,mie nadhani ngoja tuu nijitose nikamkampani,akilalamika baridi ntampa joto.
Nyegezi hiyo Mwanza,hapa sasa hivi tunapata zetu sato na sima kisha nikamtafutie guest maeneo ya buzuruga,
Sasa anataka nimkampani mpaka morning,mie nadhani ngoja tuu nijitose nikamkampani,akilalamika baridi ntampa joto.
Dah mshikaji wenzio hatujalala tunataka kujua muvi la kihindi limeishaje? Update basi
huu sijui ndio umbea wa kiume?ngoja nikalale