Demokrasia yetu Africa ni hii; Utawala wa chama dola kimoja katikati ya vyama vingi vya upinzani.

Yoda

JF-Expert Member
Jul 22, 2018
37,597
46,244
Kuna kila sababu ya kuamini kwamba demokrasia ya utawala wa chama kimoja katikati ya vyama vingi vya upinzani inafanya vizuri na kwa ufanisi zaidi Africa kuliko ile demokrasia ya vyama vingi vya ushindani vyenge nguvu sawa au zisizotofautiana sana na hupokezana kushika dola au bunge.

Mifano iko tele ila hii ni baadhi tu

1.Kuanzia Botswana inayohesabika kinara wa demokrasia barani Africa imetawalia na chama kimoja cha BDP tangu 1966 ikibadilisha Marais Watano.Botswana inafanya vizuri katika kila sekta.

2. Africa Kusini iko na ANC madarakani tangu 1994 na hakuna dalili ya kuondoka madarakani. SAImebadilisha Marais watano.

3.Namibia kiko SWAPO tangu 1990. Wamebadilisha marais watatu

4.Angola iko na SWAPO tangu mwaka 1975.Imebadilisha marais watatu.

5.Msumbiji kwa wamakonde wenzetu wako na FRELIMO tangu mwaka 1975 wamembadilisha Marais wanne.

Zaidi sana demokrasia ya Africa ni lazima chama cha wengi bungeni na Rais wa nchi wawe kutoka chama kimoja ili nchi isiparanganyike.

Hii ndio demokrasia yetu, badala ya kuparauna, kudharauliana, kuumizana na kupotezana sana tutafute namna bora ya kuufanya mfumo huu ufanye kazi kwa maslahi mapana ya taifa na wananchi wote walio wanachama na wasio wanachama wa chama dola.
 
Kuna kila sababu ya kuamini kwamba demokrasia ya utawala wa chama kimoja katikati ya vyama vingi vya upinzani inafanya vizuri na kwa ufanisi zaidi Africa kuliko ile demokrasia ya vyama vingi vya ushindani vyenge nguvu sawa au zisizotofautiana sana na hupokezana kushika dola au bunge.

Mifano iko tele ila hii ni baadhi tu

1.Kuanzia Botswana inayohesabika kinara wa demokrasia barani Africa imetawalia na chama kimoja cha BDP tangu 1966 ikibadilisha Marais Watano.Botswana inafanya vizuri katika kila sekta.

2. Africa Kusini iko na ANC madarakani tangu 1994 na hakuna dalili ya kuondoka madarakani. SAImebadilisha Marais watano.

3.Namibia kiko SWAPO tangu 1990. Wamebadilisha marais watatu

4.Angola iko na SWAPO tangu mwaka 1975.Imebadilisha marais watatu.

5.Msumbiji kwa wamakonde wenzetu wako na FRELIMO tangu mwaka 1975 wamembadilisha Marais wanne.

Zaidi sana demokrasia ya Africa ni lazima chama cha wengi bungeni na Rais wa nchi wawe kutoka chama kimoja ili nchi isiparanganyike.

Hii ndio demokrasia yetu, badala ya kuparauna, kudharauliana, kuumizana na kupotezana sana tutafute namna bora ya kuufanya mfumo huu ufanye kazi kwa maslahi mapana ya taifa na wananchi wote walio wanachama na wasio wanachama wa chama dola.
Ghana je ?
 
Ghana imeshuhudia mapinduzi mengi ya kijeshi na kuuana baada kumuondoa Nkuruma na chama chake kwa mapinduzi.
Nafikiri Ghana kwa sasa ndiyo mfano Bora zaidi wa kidemokrasia kuliko taifa jingine lolote may be na Cape Verde, na Liberia.

Mataifa ya kusini mwa jangwa la Sahara yako chini ya semi socialist parties ambavyo ili viishi lazima vitegemee vyombo vya dola.

Uchaguzi wa Botswana ulipigiwa kelele sana na vyama vya upinzani kutokana chama tawala kuendelea kupungua nguvu.

Chama cha Mapinduzi kilikufa rasmi 2015 kilichobaki ni magenge ya kutafuta madaraka.

CCM na wanaccm hawaunganishwi tena na itikadi ya ccm bali fursa za kupata madaraka na favours zingine ndani ya ccm.

Je hiki bado ni chama cha siasa ?
 
Ghana watu watano waliuwawa katika vurugu za uchaguzi mwaka jana na mpinzani mkuu aliyakataa matokeo ya uchaguzi.
Nafikiri Ghana kwa sasa ndiyo mfano Bora zaidi wa kidemokrasia kuliko taifa jingine lolote may be na Cape Verde, na Liberia.

Mataifa ya kusini mwa jangwa la Sahara yako chini ya semi socialist parties ambavyo ili viishi lazima vitegemee vyombo vya dola.

Uchaguzi wa Botswana ulipigiwa kelele sana na vyama vya upinzani kutokana chama tawala kuendelea kupungua nguvu.

Chama cha Mapinduzi kilikufa rasmi 2015 kilichobaki ni magenge ya kutafuta madaraka.

CCM na wanaccm hawaunganishwi tena na itikadi ya ccm bali fursa za kupata madaraka na favours zingine ndani ya ccm.

Je hiki bado ni chama cha siasa ?
 
Back
Top Bottom