TANO MLIMA
Member
- Oct 17, 2016
- 92
- 49
Hivi
'democracy ya kenya" walioililia kina G.Lema na P.msigwa ndo hiyo!!!!? wakiwa live,kule kenya walisifu kuwa kenya wako mbele sana kidemocrasia kuliko Tanzania!!
mm naona sisi ndo tuko mbele kidemokrasia kuliko wao!
wao ndo wanapaswa kuiga kutoka kwetu.....
yaani Tanzania tuige hayo ya kenya!!!? kweli!!?
Watanzania tusipende kujishusha kwa kila jambo.
'democracy ya kenya" walioililia kina G.Lema na P.msigwa ndo hiyo!!!!? wakiwa live,kule kenya walisifu kuwa kenya wako mbele sana kidemocrasia kuliko Tanzania!!
mm naona sisi ndo tuko mbele kidemokrasia kuliko wao!
wao ndo wanapaswa kuiga kutoka kwetu.....
yaani Tanzania tuige hayo ya kenya!!!? kweli!!?
Watanzania tusipende kujishusha kwa kila jambo.