Demokrasia ya Tanzania ipo juu!!

Demokrasia ya Tanzania ipo juu!!

TANO MLIMA

Member
Joined
Oct 17, 2016
Posts
92
Reaction score
49
Hivi
'democracy ya kenya" walioililia kina G.Lema na P.msigwa ndo hiyo!!!!? wakiwa live,kule kenya walisifu kuwa kenya wako mbele sana kidemocrasia kuliko Tanzania!!
mm naona sisi ndo tuko mbele kidemokrasia kuliko wao!
wao ndo wanapaswa kuiga kutoka kwetu.....

yaani Tanzania tuige hayo ya kenya!!!? kweli!!?

Watanzania tusipende kujishusha kwa kila jambo.
 
Hivi
'democracy ya kenya" walioililia kina G.Lema na P.msigwa ndo hiyo!!!!? wakiwa live,kule kenya walisifu kuwa kenya wako mbele sana kidemocrasia kuliko Tanzania!!
mm naona sisi ndo tuko mbele kidemokrasia kuliko wao!
wao ndo wanapaswa kuiga kutoka kwetu.....

yaani Tanzania tuige hayo ya kenya!!!? kweli!!?

Watanzania tusipende kujishusha kwa kila jambo.
Wewe kilaza kweli kweli
 
CHADEMA siku wakiwa madarakani CCM watalalamika democracia mbovu, hivyohivyo na viceversa
Ila naamini kama democracia ingekuwa mbovu Lowassa na akina Sumaye wasingeenda kule
 
Hivi
'democracy ya kenya" walioililia kina G.Lema na P.msigwa ndo hiyo!!!!? wakiwa live,kule kenya walisifu kuwa kenya wako mbele sana kidemocrasia kuliko Tanzania!!
mm naona sisi ndo tuko mbele kidemokrasia kuliko wao!
wao ndo wanapaswa kuiga kutoka kwetu.....

yaani Tanzania tuige hayo ya kenya!!!? kweli!!?

Watanzania tusipende kujishusha kwa kila jambo.
Kwa kilichoonekana wakati huo, it was democracy of the highest degree in African context, may be compared to Tanzania. Walianza vizuri, tena sana. Never trust an African, ngozi nyeusi
 
Hivi
'democracy ya kenya" walioililia kina G.Lema na P.msigwa ndo hiyo!!!!? wakiwa live,kule kenya walisifu kuwa kenya wako mbele sana kidemocrasia kuliko Tanzania!!
mm naona sisi ndo tuko mbele kidemokrasia kuliko wao!
wao ndo wanapaswa kuiga kutoka kwetu.....

yaani Tanzania tuige hayo ya kenya!!!? kweli!!?

Watanzania tusipende kujishusha kwa kila jambo.
Aliyekutuma haya, kamwambie watanzania tunataka katiba mpya.
 
Kwa kilichoonekana wakati huo, it was democracy of the highest degree in African context, may be compared to Tanzania. Walianza vizuri, tena sana. Never trust an African, ngozi nyeusi
tz ipo vizuri...wao wanavurugana tu
 
Back
Top Bottom