Demokrasia ya Tanzania ipo juu!!

Demokrasia ya Tanzania ipo juu!!

Uko sahihi kabisa.Tuko mbele kwa kurudi nyuma. Hata kale ka-progress tulikokuwa tume-make kametoweka tumeiga akina m7 na karibu tutamfikia Mubabe sorry, Mugabe!
Hivi
'democracy ya kenya" walioililia kina G.Lema na P.msigwa ndo hiyo!!!!? wakiwa live,kule kenya walisifu kuwa kenya wako mbele sana kidemocrasia kuliko Tanzania!!
mm naona sisi ndo tuko mbele kidemokrasia kuliko wao!
wao ndo wanapaswa kuiga kutoka kwetu.....

yaani Tanzania tuige hayo ya kenya!!!? kweli!!?

Watanzania tusipende kujishusha kwa kila jambo.
 
demokrasia kwa Tanzania na africa kwa ujumla ni:

kukubari matusi
kukubari uongo
kuiba usikamatwe
kufoji cheti au umri usikamatwe
kukwepa kodi na usikamatwe
kuandika uongo magazeti usiulizwe
kutetea watoto wa kike wajazwe mimba na waendelee na masomo
kuuza au kuvuta unga na usikamatwe
kutoa rushwa usikamatwe
kusingiziwa na ukaamua kukaa kimya
kumtukana kiongozi na usishitakiwe
nk

hii ni demokrasia au ushetani!!!!1
 
Hivi
'democracy ya kenya" walioililia kina G.Lema na P.msigwa ndo hiyo!!!!? wakiwa live,kule kenya walisifu kuwa kenya wako mbele sana kidemocrasia kuliko Tanzania!!
mm naona sisi ndo tuko mbele kidemokrasia kuliko wao!
wao ndo wanapaswa kuiga kutoka kwetu.....

yaani Tanzania tuige hayo ya kenya!!!? kweli!!?

Watanzania tusipende kujishusha kwa kila jambo.
hoja yako ni ipi hapa jaribu kujenga hoja iwe na mashiko ili jamii ielewe unamaanisha nini ,
 
Kenya haifanani na Tanzania labda kwa kufananisha ni Kenya na nchi kama south Africa,na Kenya wametuzidi kielimu sana
sema wametuzidi kwa ukabila sio elimu.....kama elimu yao ni hiyo ya kila siku kutumia pesa hovyo kwenye chaguzi,elimu ni hiyo familia moja inamiliki theluth ya ardhi yote si ujinga huo.
 
demokrasia kwa Tanzania na africa kwa ujumla ni:

kukubari matusi
kukubari uongo
kuiba usikamatwe
kufoji cheti au umri usikamatwe
kukwepa kodi na usikamatwe
kuandika uongo magazeti usiulizwe
kutetea watoto wa kike wajazwe mimba na waendelee na masomo
kuuza au kuvuta unga na usikamatwe
kutoa rushwa usikamatwe
kusingiziwa na ukaamua kukaa kimya
kumtukana kiongozi na usishitakiwe
nk

hii ni demokrasia au ushetani!!!!1
Udikta Tanzania ni ...kujipangia matumizi bila kufata sheria
.Kupiga watu risasi wanaokukosoa
.Kuwajibisha kundi moja na kuacha jingine wenye kosa moja
.kuzuia siasa huku mwingine anafanya
.kulaumu wastafu Kila kukicha wakati wapo na hakuna hatua zozote zinazochukuliwa
.katiba mpya ni kikwazo kwa maendeleo ya nchi....
Yani ili mladi vulugu tu....
 
It's true iko juu kwani sijawahi kusikia kokote ukipingwa huwa kunajibiwa kwa kumi mini was smg
 
Kwa kilichoonekana wakati huo, it was democracy of the highest degree in African context, may be compared to Tanzania. Walianza vizuri, tena sana. Never trust an African, ngozi nyeusi
African have been raped mkuu
 
Mimi sijui nani kati Tanzania yupo juu kidemokrasia,naweza kusema Kenya hawajui demokrasia kwa kipindi kirefu,ndio maana wamefikia kususia uchaguzi na mkoa wa pwani unataka kujitenga.
Na upande wa Tanzania wao wanaota demokrasia lakini wameshindwa kutimiza demokrasia,kuna wakati vyombo vya habari viliwahi kutishia wananchi kuwa mkifanya makosa kuwachagua wapinzani nchi ya Tanzania itageuka Somalia.
Kwa ufupi demokrasia ya kweli bado huko Kenya na Tanzania sababu hakuna nia ya dhati.Kuandika na Kusaini makaratasi yanayoitwa katiba wakati matendo ni kinyume hatutasogea.
 
Kenya Demokrasia IP juu sana Shida tamaa kubwa ya rafki wa magu tu!!
 
demokrasia kwa Tanzania na africa kwa ujumla ni:

kukubari matusi
kukubari uongo
kuiba usikamatwe
kufoji cheti au umri usikamatwe
kukwepa kodi na usikamatwe
kuandika uongo magazeti usiulizwe
kutetea watoto wa kike wajazwe mimba na waendelee na masomo
kuuza au kuvuta unga na usikamatwe
kutoa rushwa usikamatwe
kusingiziwa na ukaamua kukaa kimya
kumtukana kiongozi na usishitakiwe
nk

hii ni demokrasia au ushetani!!!!1
hivi ndivyo 'eti'wanaojiita wanademokrasia wanavililia!!!
 
Back
Top Bottom