Kutokana na umaskini katika nchi maskini hususan za Africa, hata watu wake wengi (sio wote) mawazo yao ni maskini pia, hayana afya!! Ukifuata demokrasia ya wengi wape, hawa watakupoteza, hapo sio kwa makusudi, ni kwa kuwa na uelewa mdogo, nn kifanyike? Ni lazima tuchague aina ya udikteta, kudikteti mawazo yao yasio na afya, japo wameyatoa kwa nia njm!! Kwa lugha rahisi demokrasia kwa watu maskini wa akili ni janga!!
Ni hatari sana kutekeleza demokrasia isiyoendana na asili ya watu...sisi tumevunja taasisi zetu na uasili wetu kwakupenda kuiga vitu bila kuweka maana...hivi kwanini tumevunja mifumo ya familia na koo kuishi kwa ujamaa huku hakuna mfumo mbadala wakutunza yatima, wazee, wajane na vilema? Badala ya kuendelea hiyo mifumo huku tukiondoa mambo machache ya kurithishana wake na mali pasipo kuweka sheria inayosaidia wahanga tumekimbilia kujenga taasisi zinazohudumia wale wenye ajira rasmi tu ambao hawafiki hata 10%...Hatuishi uhalisia na elimu yetu imekosa context ni ya kufikirika tu...watu wanashindana kukariri na anayeweza kukariri ndiye mwenye kupewa malipo makubwa...
haitakuwa kama viongozi wa Africa