Demokrasia katika nchi masikini ni umasikini

Demokrasia katika nchi masikini ni umasikini

Africa haitakuwa kama viongozi wa Africa wataendelea kuwa vibaraka wa wazungu.
Maana wazungu wanawageuza viongozi wa Africa kuwategemea wazungu.
Kama ili la soko la Pamoja na nchi za ulaya, ndio hiyo hiyo mikataba ya kipuuzi, ambayo aina faida yoyote kwa Africa.
Wewe mwafrika utaweza kushindana na soko la ulaya

Waafrika tutumie wasomi na vijana katika kufanya maamuzi na sio kuwaachia wazee na wanasiasa ambao wanazidi kutia hasara katika nchi hii.
Decision making (maamuzi) katika nchi zilizoendelea wanawatumia watu wa Umri miaka 45-18 ambao wana upeo wa mkubwa na awawezi kukosea kwa sababu kama ni shida itawahusu wao. Sasa Africa , decision makers (watoa maamuzi) ni watu wazima wenye miaka 60 na kuendelea na ndio maana awataki mabadiriko na maboresho ya mambo kwa kuofia nchi itaingia katika machafuko
Well said,

Wachache wenye uelewa mpana ndiyo watakaokuelewa tu!
 
Yericko Nyerere tatizo lako kubwa ni kwamba unaleta mada nzito ambazo sisi watoto tunashindwa kuzielewa kwa ufasaha. tafadhali uwe unajaribu kuzimeng'enyameng'enya kidogo kaka

lakini asante sana kwa andiko lako kaka
Kweli Wewe Ni mtoto! Mwenzako hana hamu na SERO tena! Wala Mill 7!
Anatumia lugha 2 kwa wakati mmoja ili ahepuke Mill 7! pindi atakapoitwa kwa mashtaka ya UCHOCHEZI!
 
Huu ni uchafu mtupu, Nenda Botwana, nenda Ghana, Nenda Afrika Kusini. Au unataka kusema Kaburu Arudi? Kwanza tunahitaji katiba bora inayozingatia utu, haki, watu na urithi wao kwa maslahi ya taifa. Kwa mfano Botwana wakiuza almasi wanapata 70%. Haya manchi yasi na katiba yanapata 3 - 10%. Hayo maendeleo utayapataje kwa kutapanya mali. Toa uchafu humu. Usitufanye maragarasa.
Unakiwa utulie unisome kwa umakini neno kwa neno kisha rudi hapa tujadiliane mkuu, nina uhakika hujanilewa kabisa
 
Afrika siyo nchi bali ni bara lenye mkusanyiko wa nchi kadhaa,kwa hivyo huwezi kuutenganisha uzi wako na tanzania.
Vipi udikteta ndani ya chadema ni udikteta wa aina gani?
Ndani ya Chadema hakuna udikteta ila kuna uongozi wa katiba na sheria
 
mbona hueleweki kwenye mada udikteta ni kutofuata katiba na sheria,ukasema sio hivyo ndo maana nikauliza ni nini maana ya udikteta?...ebu angalia andiko lako chini
Wewe uliandika kutokufuata sheria ni udikteta, na kwenye mada kuu "udikteta ni UTAWALA usiofuata sheria na KATIBA". Tofauti kubwa ya tafsiri
 
Wewe uliandika kutokufuata sheria ni udikteta, na kwenye mada kuu "udikteta ni UTAWALA usiofuata sheria na KATIBA". Tofauti kubwa ya tafsiri
duh kwahiyo ukifuata katiba na usifuate sheria sio UDIKTETA????na hizo sheria hazipo kwenye KATIBA??...
 
duh kwahiyo ukifuata katiba na usifuate sheria sio UDIKTETA????na hizo sheria hazipo kwenye KATIBA??...
Sijapata mantiki ya ubishani huu! Kama kutokufuata sheria ni udikteta, kwa tafsiri yako, basi kila mharifu ni dikteta.
 
Africa haitakuwa kama viongozi wa Africa wataendelea kuwa vibaraka wa wazungu.
Maana wazungu wanawageuza viongozi wa Africa kuwategemea wazungu.
Kama ili la soko la Pamoja na nchi za ulaya, ndio hiyo hiyo mikataba ya kipuuzi, ambayo aina faida yoyote kwa Africa.
Wewe mwafrika utaweza kushindana na soko la ulaya

Waafrika tutumie wasomi na vijana katika kufanya maamuzi na sio kuwaachia wazee na wanasiasa ambao wanazidi kutia hasara katika nchi hii.
Decision making (maamuzi) katika nchi zilizoendelea wanawatumia watu wa Umri miaka 45-18 ambao wana upeo wa mkubwa na awawezi kukosea kwa sababu kama ni shida itawahusu wao. Sasa Africa , decision makers (watoa maamuzi) ni watu wazima wenye miaka 60 na kuendelea na ndio maana awataki mabadiriko na maboresho ya mambo kwa kuofia nchi itaingia katika machafuko
Waafrika bahati mbaya sana Mungu katunyima akili na maarifa...hatuwezi kuishi bila kumtegemea mzungu...hebu fikiria leo wazungu wakigoma kununua madini yetu tutayapeleka wapi? Hakuna namna lazima tuwauzie wao, kwa bei wanayotaka wao, kwa masharti watakayoweka wao ..
 
Waafrika bahati mbaya sana Mungu katunyima akili na maarifa...hatuwezi kuishi bila kumtegemea mzungu...hebu fikiria leo wazungu wakigoma kununua madini yetu tutayapeleka wapi? Hakuna namna lazima tuwauzie wao, kwa bei wanayotaka wao, kwa masharti watakayoweka wao ..
 
Kwa hilo nakubaliana na wewe...demokrasia ya wazungu ina mahusiano na tamaduni zao...sisi yetu ni tofauti ya kwetu alituandikia baba yetu wa taifa lakini wengi wetu hatupendi kuiboresha hiyo tunakimbilia ya wenzetu tena kwakuchagua yale tunayoyapenda na yale tusiyoyapenda hata kuyataja hatuthubutu...Wabinafsi na ubinafsi mpaka kwenye familia zetu wenyewe
 
Back
Top Bottom