Demokrasia katika nchi masikini ni umasikini

Demokrasia katika nchi masikini ni umasikini

Yerico unaongelea udikteta upi?
Toa boriti kwanza kwenye jicho lako
Chadema wameondoa kinyemela kipengele cha ukomo wa uongozi,yaani Mbowe ni mwenyekiti hadi siku ya kiama
Chadema huruhusiwi kwenda mahakamani,ukienda tu umejifukuzisha!!!hii haki ya msingi imepokwa Mbona hatumuoni Yerico na genge la wasanii wenzie kupiga kelele?
Bavicha msifanye watu wote ni wajinga kama wafuasi wenu
Kuongoza mda mrefu kwa ridhaa ya unaowaongoza ni sababu tosha ya udikiteta?
 
Yerico unaongelea udikteta upi?
Toa boriti kwanza kwenye jicho lako
Chadema wameondoa kinyemela kipengele cha ukomo wa uongozi,yaani Mbowe ni mwenyekiti hadi siku ya kiama
Chadema huruhusiwi kwenda mahakamani,ukienda tu umejifukuzisha!!!hii haki ya msingi imepokwa Mbona hatumuoni Yerico na genge la wasanii wenzie kupiga kelele?
Bavicha msifanye watu wote ni wajinga kama wafuasi wenu
Una point lakini kosa la CDM lisiilazimishe nchi kubaki huko walikotoka watu.
Kigezo kisiwe CDM tujiwekee utaratibu mzuri wa kujiongoza
 
Kifalsafa zaidi Afrika haiwezi kuishi maisha yaliyoishi Ulaya na Amerika, Nchi zote zilizoendelea zilipita kwenye mikono ya kiimla na kidikteta japokuwa nyakati ziliruhusu kuwa hivyo,

Njia hizo haziwezi na hazitotokea kuisaidia Afrika, Afrika lazima ichague utaratibu wake wa kufikia malengo iyatakayo na siyo njia hii tuiendeayo ambayo ni njia waliyopita Ulaya na Amerika karne ya 18-19, Nyakati za leo zinakataa. Wapo wanaoitazama dunia kuwa inaongwa kidkteta hasa Uchina, Korea Kaskazini, Korea Kusini, Urusi nk... Lakini hawafahamu kuwa ule sio udikta ni utawala wa sheria na katiba uliojengwa katika misingi ya karne ya 18-19 ambpo dunia ilikuwa chini ya mkono wa chuma. Leo ule SIO UDIKTETA.

Udikteta upo wa aina moja tu, ni utawala usiofuata katiba na sheria, utawala wa mtu mmoja tu, utawala wa matamko (decree), na madikteta wapo wa aina mbili, ambao ni Dikteta msomi, na dikteta mpuumbavu... Hawa hutofautiana katika staili zao za kutawala, Dikteta msomi hutawala huku watu wake wakilia machozi moyoni na usoni wakicheka, huku dikteta mpuumbavu, hutawala huku watu wake wakilia machozi machoni huku moyoni wakikenua meno... Uchaguzi ni wako.

Udikteta wowote hata ule unaopambwa na wajasiliasiasa kuwa ni udikteta mamboleo kamwe haujawahi kuiendesha dunia ya leo, labla kwenye nchi ya Nodi. Hakuna udikteta mamboleo duniani, hilo ni ingizo jipya katika uhalifu wa kisiasa wa wanasiasa wanaotumia vibaya kiuongo chao kiitwacho tumbo.. Tumbo ukiliruhusu likutawale litakufanya hata uwe Prof utafanya mambo kama Prof Lipumba au hata uwe Dr utafanya mambo kama Dr Rutengwe.

Demokrasia ya ulaya katika nchi masikini ni umasikini.
Yericko Nyerere a.k.a mchumia tumbo wa ufipa..
Nakuhisi hisi unataka kujipendekeza pahali ila hujui pa kuanzia hivyo unaanza kwa kuzuga na micharazo yako ya kusadikika isiyokuwa na kina wala shina..
Hii context uliyojificha nyuma yake leo, mwendelezo wake viona mbali tunaujua.. tunasubiri muda ukuhukumu..

Tumekuzoea kwa kula matapishi yako mwenyewe hivyo usijifiche chini ya mwamvuli wa micharazo uchwara..
Funguka tu na ule tena matapishi yako kama ilivyo ada kwako, usione soo, sema nae...
 
Yericko Nyerere a.k.a mchumia tumbo wa ufipa..
Nakuhisi hisi unataka kujipendekeza pahali ila hujui pa kuanzia hivyo unaanza kwa kuzuga na micharazo yako ya kusadikika isiyokuwa na kina wala shina..
Hii context uliyojificha nyuma yake leo, mwendelezo wake viona mbali tunaujua.. tunasubiri muda ukuhukumu..

Tumekuzoea kwa kula matapishi yako mwenyewe hivyo usijifiche chini ya mwamvuli wa micharazo uchwara..
Funguka tu na ule tena matapishi yako kama ilivyo ada kwako, usione soo, sema nae...
Mimi natumiwa, je wewe?
 
Africa haitakuwa kama viongozi wa Africa wataendelea kuwa vibaraka wa wazungu.
Maana wazungu wanawageuza viongozi wa Africa kuwategemea wazungu.
Kama ili la soko la Pamoja na nchi za ulaya, ndio hiyo hiyo mikataba ya kipuuzi, ambayo aina faida yoyote kwa Africa.
Wewe mwafrika utaweza kushindana na soko la ulaya

Waafrika tutumie wasomi na vijana katika kufanya maamuzi na sio kuwaachia wazee na wanasiasa ambao wanazidi kutia hasara katika nchi hii.
Decision making (maamuzi) katika nchi zilizoendelea wanawatumia watu wa Umri miaka 45-18 ambao wana upeo wa mkubwa na awawezi kukosea kwa sababu kama ni shida itawahusu wao. Sasa Africa , decision makers (watoa maamuzi) ni watu wazima wenye miaka 60 na kuendelea na ndio maana awataki mabadiriko na maboresho ya mambo kwa kuofia nchi itaingia katika machafuko
 
Kwa mtazamo wangu Chadema ingeondowa maneno mawili katika jina lake. Neno la kwanza ni demokrasia na pili ni maendeleo. Ni vigumu kuhusisha demokrasia ya aina yoyote na hichi chama, upatikanaji wa viongozi tuu ni mtihani. Maendeleo ndio kabisa kichwa cha mwendawazimu, kama kuna maendeleo ya kuigwa naomba mtuorozeshe kwa manufaa ya jamii kwa ujumla. Ukitaka kujuwa maana ya udikteta usikimbilie mbani, mifano iko karibu kabisa na nyumbani.
 
Huu ni uchafu mtupu, Nenda Botwana, nenda Ghana, Nenda Afrika Kusini. Au unataka kusema Kaburu Arudi? Kwanza tunahitaji katiba bora inayozingatia utu, haki, watu na urithi wao kwa maslahi ya taifa. Kwa mfano Botwana wakiuza almasi wanapata 70%. Haya manchi yasi na katiba yanapata 3 - 10%. Hayo maendeleo utayapataje kwa kutapanya mali. Toa uchafu humu. Usitufanye maragarasa.
 
Aaa Yerico, Eti umesema wanauta udicteta gani? Kenya sasa wanajitegemea 100%, utamu wa katiba nzuri huo.
 
Wewe jamaa kila siku kupinga .nyie wenyewe kwnye Chama chenu kuna udkteta ila mnaogopa kusema
 
How does the economic openness of a country affect its distribution of income? How does the level of democracy affect a country’s distribution of income? These questions are addressed in two literatures. The effect of economic openness on the distribution of income is studied in the literature on economic globalization (e.g., Held, McGrew, Goldblatt, & Perraton 1999; Rodrik, 1997)
Read More: http://citeseerx.ist.psu.edu/viewdoc/download?doi=10.1.1.470.8047&rep=rep1&type=pdf
 
Chama cha siasa ni kama msikiti au kanisa, ukiona mafundisho haya hayakufai unahamia kwingine.... Nchi huwezi kuhama unapambana mpaka tone la mwisho
moja kati ya majibu mazuri yaliyowah kujibiwa tangia jukwaa hili lianzishwe ni kwamba kweli mi nimeichana kad yangu ya CUF lakin ni ngumu kuchana ID yangu ya uraia hata kama nchi inaendeshwa na majipu sijui chunusi hata haielewek tunaelekea wap
 
Unapotosha nilichoandika na unanilisha maneno mdomoni...

Soma kilichoandikwa hakihusu Tanzania kinahusu Afrika...
Afrika siyo nchi bali ni bara lenye mkusanyiko wa nchi kadhaa,kwa hivyo huwezi kuutenganisha uzi wako na tanzania.
Vipi udikteta ndani ya chadema ni udikteta wa aina gani?
 
Kifalsafa zaidi Afrika haiwezi kuishi maisha yaliyoishi Ulaya na Amerika, Nchi zote zilizoendelea zilipita kwenye mikono ya kiimla na kidikteta japokuwa nyakati ziliruhusu kuwa hivyo,

Njia hizo haziwezi na hazitotokea kuisaidia Afrika, Afrika lazima ichague utaratibu wake wa kufikia malengo iyatakayo na siyo njia hii tuiendeayo ambayo ni njia waliyopita Ulaya na Amerika karne ya 18-19, Nyakati za leo zinakataa. Wapo wanaoitazama dunia kuwa inaongwa kidkteta hasa Uchina, Korea Kaskazini, Korea Kusini, Urusi nk... Lakini hawafahamu kuwa ule sio udikta ni utawala wa sheria na katiba uliojengwa katika misingi ya karne ya 18-19 ambpo dunia ilikuwa chini ya mkono wa chuma. Leo ule SIO UDIKTETA.

Udikteta upo wa aina moja tu, ni utawala usiofuata katiba na sheria, utawala wa mtu mmoja tu, utawala wa matamko (decree), na madikteta wapo wa aina mbili, ambao ni Dikteta msomi, na dikteta mpuumbavu... Hawa hutofautiana katika staili zao za kutawala, Dikteta msomi hutawala huku watu wake wakilia machozi moyoni na usoni wakicheka, huku dikteta mpuumbavu, hutawala huku watu wake wakilia machozi machoni huku moyoni wakikenua meno... Uchaguzi ni wako.

Udikteta wowote hata ule unaopambwa na wajasiliasiasa kuwa ni udikteta mamboleo kamwe haujawahi kuiendesha dunia ya leo, labla kwenye nchi ya Nodi. Hakuna udikteta mamboleo duniani, hilo ni ingizo jipya katika uhalifu wa kisiasa wa wanasiasa wanaotumia vibaya kiuongo chao kiitwacho tumbo.. Tumbo ukiliruhusu likutawale litakufanya hata uwe Prof utafanya mambo kama Prof Lipumba au hata uwe Dr utafanya mambo kama Dr Rutengwe.

Demokrasia ya ulaya katika nchi masikini ni umasikini.

Tatizo la chambuzi zenu ni kuongozwa na ajenda mnazotumiwa kuzieneza sasa heading inaweza kuwa nzuri lakini kufurahisha mabwana zenu ndio shida, Udikteta kuuzungumzia unataka 360 degree analysis manake hata wewe unatoa mada watu wakitoa mawazo tofauti ukipinga tayari we ni dikteta.

Demokrasia ya ulaya ni kutaka kuona kila mtu anapata fursa ya kuelezea mawazo yake hata kama ni tofauti na ya watawala. Udikteta Mpya afrika uko katika vyama vyenu na viongozi wa vyama vyenu hawataki mawazo tofauti na yao, nyie vibaraka wao mmeaminishwa udikteta ni kupinga walio madarakani na kushika dola tu. Mawazo ya Prof. Lipumba ni sawa alipaswa kusikilizwa hata kama hafurahishi mabwana zenu ndio demokrasia sasa nyie na wanaowatuma mnatumia nguvu kubwa kuzuia mawazo tofauti.

Acheni watu wawe huru kuwa na mawazo tofauti na yenu na ya mabwana zenu hata kama hayawapendezi ndio demokrasia. Yaani humu JF watu wanademokrasia hata kwa kuficha ID zao lakini mawazo huru ndio yanafanya watu wanaongezeka kutumia.
 
Kifalsafa zaidi Afrika haiwezi kuishi maisha yaliyoishi Ulaya na Amerika, Nchi zote zilizoendelea zilipita kwenye mikono ya kiimla na kidikteta japokuwa nyakati ziliruhusu kuwa hivyo,

Njia hizo haziwezi na hazitotokea kuisaidia Afrika, Afrika lazima ichague utaratibu wake wa kufikia malengo iyatakayo na siyo njia hii tuiendeayo ambayo ni njia waliyopita Ulaya na Amerika karne ya 18-19, Nyakati za leo zinakataa. Wapo wanaoitazama dunia kuwa inaongwa kidkteta hasa Uchina, Korea Kaskazini, Korea Kusini, Urusi nk... Lakini hawafahamu kuwa ule sio udikta ni utawala wa sheria na katiba uliojengwa katika misingi ya karne ya 18-19 ambpo dunia ilikuwa chini ya mkono wa chuma. Leo ule SIO UDIKTETA.

Udikteta upo wa aina moja tu, ni utawala usiofuata katiba na sheria, utawala wa mtu mmoja tu, utawala wa matamko (decree), na madikteta wapo wa aina mbili, ambao ni Dikteta msomi, na dikteta mpuumbavu... Hawa hutofautiana katika staili zao za kutawala, Dikteta msomi hutawala huku watu wake wakilia machozi moyoni na usoni wakicheka, huku dikteta mpuumbavu, hutawala huku watu wake wakilia machozi machoni huku moyoni wakikenua meno... Uchaguzi ni wako.

Udikteta wowote hata ule unaopambwa na wajasiliasiasa kuwa ni udikteta mamboleo kamwe haujawahi kuiendesha dunia ya leo, labla kwenye nchi ya Nodi. Hakuna udikteta mamboleo duniani, hilo ni ingizo jipya katika uhalifu wa kisiasa wa wanasiasa wanaotumia vibaya kiuongo chao kiitwacho tumbo.. Tumbo ukiliruhusu likutawale litakufanya hata uwe Prof utafanya mambo kama Prof Lipumba au hata uwe Dr utafanya mambo kama Dr Rutengwe.

Demokrasia ya ulaya katika nchi masikini ni umasikini.
Naona upo heat unataka kushika mimba tena baada ya ile ya Octoba 25!
 
Back
Top Bottom