Kojo Dowido
JF-Expert Member
- Jan 27, 2015
- 354
- 111
Ni pale Wabunge walio aminiwa na kupewa dhamana na wananchi kuwa wakilisha bungeni wanapotumia uhuru na haki hii ya kidemokrasia kufanya ghasia za zomeazomea.
ni maoni yangu tufike mahali sasa tusi ivumilie hii tabia ya baadhi ya wabunge wetu.
Mh rais wa JMT JPM amezunguzia vizuri sana kuhusu majipu yanayo lisumbua taifa letu, ambayo yeye binafsi kajitolea kuyakamua ili taifa hili lipone.
bila kumungunya maneno hii tabia tuliyoiona bungeni ni moja ya hayo majipu. tena hili jipu lina kiini chake ambacho ni hatarishi sana. lisiposhughulikiwa kwa muda muuafaka jipu hili litageuka kuwa kansa. hebu tujiulize hivi hawa wabunge wangekaidi amri ya spika Ndungai ya kutoka nje kwa hiari yao ni nini kingetoke, kumbuka pale alikuwapo amiri jeshi mkuu wa majeshi yetu
sasa mheshimiwa rais tunakuomba hebu kamua jipu hili linaloendelea kukua hapo bungeni. tafahali jamani tusiendelee kupuuzua hii hali. Na andika hivi ni kijua rais ni sehemu ya bunge kwa mujibu wa katiba yetu.
ni maoni yangu tufike mahali sasa tusi ivumilie hii tabia ya baadhi ya wabunge wetu.
Mh rais wa JMT JPM amezunguzia vizuri sana kuhusu majipu yanayo lisumbua taifa letu, ambayo yeye binafsi kajitolea kuyakamua ili taifa hili lipone.
bila kumungunya maneno hii tabia tuliyoiona bungeni ni moja ya hayo majipu. tena hili jipu lina kiini chake ambacho ni hatarishi sana. lisiposhughulikiwa kwa muda muuafaka jipu hili litageuka kuwa kansa. hebu tujiulize hivi hawa wabunge wangekaidi amri ya spika Ndungai ya kutoka nje kwa hiari yao ni nini kingetoke, kumbuka pale alikuwapo amiri jeshi mkuu wa majeshi yetu
sasa mheshimiwa rais tunakuomba hebu kamua jipu hili linaloendelea kukua hapo bungeni. tafahali jamani tusiendelee kupuuzua hii hali. Na andika hivi ni kijua rais ni sehemu ya bunge kwa mujibu wa katiba yetu.