Mkuu lini mtaacha kuitegemea serikali tena ya nchi nyingine?????
Aliesema tuitegemee nani?
mimi nasema wao kujitangaza kuwa
watu wa kuisaidia Africa huku wanafanya kinyume ni unafiki
bora wanyamaze
halafu nimezungumzia watu kuwa na pesa ya kusoma Marekani
na kunyimwa visa while wanajitangaza dunia nzima kuwa na best colleges
na wanaruhusu watu wa nchi zingine bila vikwazo
mfani Israel
ningekujibu lakini una bahati nilipigwa ban for 2 weeks...have fun!!
Jana niliona kwenye news Marekani wataacha kutoa misaada
South Africa ya madawa ya ARV kwa waathirika
kiukweli mwisho wake wataacha kabisa hata kwa nchi zingine
kwa ujumla Obama amepunguza misaada kwa nchi za Africa mno
George Bush alitoa misaada mno na ndo alianzisha programme
maalum za kusaidia wagonjwa wa HIV Africa
Clinton na Obama jumla ya misaada yao Africa haifiki hata robo ya Bush
na ukiacha hilo hata VISA za kuingia Marekani kusoma au kutalii tu
chini ya Bush ni zaidi ya mara mbili chini ya Obama
huwa waafrika tuna kawaida ya kuwafagilia Democrats but
mostly ni chama cha maneno meengi na propaganda but hawana
lolote kiutendaji
data zinaongea ukweli......Bush was way better than Obama kwa Africa
Kwa haraka haraka ni analysis nzuri ila kwa undani mkuu bado hujafanya utafiti hakuna kitu cha bure hao republican wanatoa sana na ndo wanaongoza kwa kutunyonya africa. Obama na democratic wenzake hawatoa sana ila ndo salama yetu ya kupunguzwa kunyonywa.
Politics ni win- win situation hakuna wazungu wanaowapenda waafrika chini ya jua hili.
Waafrika tuacheni kutegemea misaada.
Kitu kikishakuwa msaada huwezi kukipangia masharti.
Bora hata Jadakiss - raia wa Marekani- anaposema "Why they ain't give us the cure for AIDS?" (Jadakiss -Why?) anaweza kulalamika kwamba serikali ya Marekani itumie kodi yake kuweka mazingira mazuri ya AIDS research.
Sie waafrika kwa nini tusifanye mambo yetu mpaka kutegemea wengine? Wakitaka kututawala kwa kuwa tu wategemezi tutasemaje?
Waswahili wanasema "Cha mtu mavi"
Mbona mnakikodolea?
Democraps ndiyo salama yetu? You are seriously laboring under a major misapprehension!
Je, wapo Waafrika wanaowapenda Wazungu chini ya jua hili?
The Boss siyo Marekani tuu, nchi nyingi zimeacha kutoa aid kwa South Africa.
Uingereza nayo imetangaza rasmi kuacha kuipa South Afrika aid kuanzia mwaka 2015: BBC News - South Africa criticises UK decision to end direct aid
Ifike mahali tujitegemee. Kutegemea misaada won't get us anywhere.
We have the means, we have the resources so badala ya kuzivuja, lets utilise them effectively.
Our relations with developed countries should be based on trade na siyo misaada.
Jana nimesoma mabilioni ya dola yatamwaga Congo jiulize kwa nini wakati nchi ina resources nyingi hivyo.
Sikusema tusijitegemee
kujitegemea nayo ni process
halafu Marekani ina watu ndani ambao ni political base ya Democrats
ambao wanataka Obama asaidie Africa
kama ambavyo kuisaidia Israel ni political pia kwa siasa za Marekani
Usisahau waathirika wote wa HIV Tz wanapata dawa bure sababu ya PEPFAR aliyoanzisha Bush
kui cancel now eti ili ujitegemee ni kuhukumu watu vifo
Yaani mkuu The Boss serikali yako ina pesa za kumsafirisha rais na masafara wake kila kukicha
Lakini haina hela hata ya kuwasaidia waathirika?
Miaka 50 plus imepita most of African states zipate uhuru sasa hiyo process ya kujitegemea unataka miaka mingapi? 1000???
Jana niliona kwenye news Marekani wataacha kutoa misaada
South Africa ya madawa ya ARV kwa waathirika
kiukweli mwisho wake wataacha kabisa hata kwa nchi zingine
kwa ujumla Obama amepunguza misaada kwa nchi za Africa mno
George Bush alitoa misaada mno na ndo alianzisha programme
maalum za kusaidia wagonjwa wa HIV Africa
Clinton na Obama jumla ya misaada yao Africa haifiki hata robo ya Bush
na ukiacha hilo hata VISA za kuingia Marekani kusoma au kutalii tu
chini ya Bush ni zaidi ya mara mbili chini ya Obama
huwa waafrika tuna kawaida ya kuwafagilia Democrats but
mostly ni chama cha maneno meengi na propaganda but hawana
lolote kiutendaji
data zinaongea ukweli......Bush was way better than Obama kwa Africa
Ndio ukweli wenyeweNow this is politics
ungekuwa HIV Positive usingesema
OBAMA anatufaa zaidi kuliko Bush, tumezoea vya kupewa, ifikie mahali tutafute vya kwetu na kujitegemea,
hv bara la Afrika na nchi tajiri kama ya kwetu hatuoni aibu kutembeza bakuli kama matonya kila siku, kwann tusitumie akili kidogo tuzalishe na kuwakopesha wamarekani kama china inavyofanya sasa hivi? ningepata nafasi ya kuongea na obama ningemwambia asilete hata shilingi moja ya tz kwa bara la Afrika ili tujifunze kujitegemea. cha kusikitisha zaidi, hata hela wanazotupa nyingi zinaliwa na wajanja wa mjini