Demiss amepotelea wapi?

Sometimes inategemea na wewe ilikuwaje ukatoa au kama unajitangaza sana wanaume watataka waone maajabu uliyonayo wakiyakosa ndiyo hivyo matangazo utakumbana nayo
 
Humu ndani ni ku lay low tu kama una Moyo mdogo,
Mambo ya Umaarufu tuwaachie Celebrities wa Bongo, maana wao washazoea michambo na mitusi kwa Watanganyika....

Yote kwa Yote tabia za kinyanyasaji na utapeli hazitafumbiwa macho.

Kweli Kweli.
Umaarufu una gharama zake.
 
Sometimes inategemea na wewe ilikuwaje ukatoa au kama unajitangaza sana wanaume watataka waone maajabu uliyonayo wakiyakosa ndiyo hivyo matangazo utakumbana nayo
Aahh!bwana wee haijalishi...mwenye lake hachagui sababu broo...nakuambia halafu tujifunze kuvumiliana jamani!hakuna mkamilifu ktk ardhi....!!
Ila ni kuvumiliana tu ndo mpango mzima kama ikitokea mtu kanilipua sawa ntashukuru Mungu ntakuwa sina namna!i

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…