Demiss amepotelea wapi?

Demiss amepotelea wapi?

Na kwakua MTU wakuandika kile kimpacho rahaaa


Baadhi yenu Wanawake mkamwoneaa wivuu sanaaaaaa.


Unajua wanawake mnakuaga na ujinga wakuhisi, MTU Fulani kutoka na mtu Fulani ...anafaidiiii.


Ndio maana baada ya Demiss kukutwa na maujinga ya humu...


Mkamkimbiaaa..SIJUI KAMA MLIUNGANA KUMTETEA.

SIJUI KAMA MMOJA WENU ALIMPIGIA SIMU KUMFARIJI.
Bila shaka Mshana Jr ametuwakilisha vema!
 
Nawaambia, katika mahusiano yoyote yale ya mitandaoni ..

Mwanamke yuko kwenye upande makubwa sana wa KUUMIZWA.


Ninawambia...Bora mwanaume wa FB ambaye unayeweza pitia A B C D zake, ukamjuaaa.



Ila humu?? Hunijuii, hujui hata rafiki yangu ....


Wengi mmeishiwa Kuliwa na mwishoooo unaambiwa "NINA MKE NA WATOTO"


kisha MTU anajiwahi kufungua Uzi... Imeishaaaaaa

Weee ndo unabadili ID, pengine kuikimbiaa

Kubadili I’d sio suruhisho mimi sitokubali kubadili I’d kwa kuanzishiwa uzi nakomaa na hii liwalo naliwe 😬😬😬
 
Wacha tusubiri tuone !!!

Na mnavyojua Kuongea..


Hiyo siku mtatuua.



Ewe Bidada, uliyefanikiwa kuniona ,tukajuana..

Nipo chini ya miguu yako , Mimi ni mweusii tiii, mbwemba, Mbaya wa sura .

Nikiwa natembea kwambali unaweza ona ni "Kamzimu kanakuja".



Tafadhali, usije kunimwaga humu.
Akisoma hapa atakuonea huruma
 
Me nilikuwa naye SAMBAMBA nikaingizwa na mie nikachambwaa na Uzi juu

Nilimwambia we tukana tu ila usitegemee nitakimbia hii Id.

Sahivi mjamaa tunakwotiana fresh 'alibadili id sijui anajua hajulikani
Nani huyo?
 
Back
Top Bottom