reymage
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 12,427
- 29,304
Hahahaha utaniibia nyota yangu![]()


naondoka na mwezi mpk juaSent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Hahahaha utaniibia nyota yangu![]()


naondoka na mwezi mpk juaBila shaka Mshana Jr ametuwakilisha vema!Na kwakua MTU wakuandika kile kimpacho rahaaa
Baadhi yenu Wanawake mkamwoneaa wivuu sanaaaaaa.
Unajua wanawake mnakuaga na ujinga wakuhisi, MTU Fulani kutoka na mtu Fulani ...anafaidiiii.
Ndio maana baada ya Demiss kukutwa na maujinga ya humu...
Mkamkimbiaaa..SIJUI KAMA MLIUNGANA KUMTETEA.
SIJUI KAMA MMOJA WENU ALIMPIGIA SIMU KUMFARIJI.
Badilisha na hiyo sent frommaana namkumbuka vizuri mtumiaji wake.
Usimind dada mzuri lakini![]()



we kausha tu!!niyule yule mbona!!!Kubadili I’d sio suruhisho mimi sitokubali kubadili I’d kwa kuanzishiwa uzi nakomaa na hii liwalo naliwe 😬😬😬Nawaambia, katika mahusiano yoyote yale ya mitandaoni ..
Mwanamke yuko kwenye upande makubwa sana wa KUUMIZWA.
Ninawambia...Bora mwanaume wa FB ambaye unayeweza pitia A B C D zake, ukamjuaaa.
Ila humu?? Hunijuii, hujui hata rafiki yangu ....
Wengi mmeishiwa Kuliwa na mwishoooo unaambiwa "NINA MKE NA WATOTO"
kisha MTU anajiwahi kufungua Uzi... Imeishaaaaaa
Weee ndo unabadili ID, pengine kuikimbiaa
![]()
Shekhe yule yule,msikiti ule ule kanzu ndo mpyaa...!!!Eti nipe mkono
Ujue napata shida sana kukuzoea kwenye huu ujio mpya?Maana ni umechangamka balaa.
Sent using Jamii Forums mobile app






!!!!!washanijia mbona hukoo@depalWacha tusubiri tuone !!!
Na mnavyojua Kuongea..
Hiyo siku mtatuua.
Ewe Bidada, uliyefanikiwa kuniona ,tukajuana..
Nipo chini ya miguu yako , Mimi ni mweusii tiii, mbwemba, Mbaya wa sura .
Nikiwa natembea kwambali unaweza ona ni "Kamzimu kanakuja".
Tafadhali, usije kunimwaga humu.

Akisoma hapa atakuonea hurumaKuanzishiwa uzi ni swala moja na yanayoletwa baada ya uzi Kuanzishwa ni swala jingine kinachoamua ubadili I'd au ukaze ni hayo majadilianoKubadili I’d sio suruhisho mimi sitokubali kubadili I’d kwa kuanzishiwa uzi nakomaa na hii liwalo naliwe![]()



Siku yako yaja kwa speed ya 4g tutakurukia kama tulivyomrukia mke wa nikToka nijiunge Jf sijawahi kufikilia kutoka na member humu Mume wangu anatosha
Namaanisha kutuwakilisha vema kumpa pole kwani yeye nahisi atakua na mawasiliano naye sijamuhusisha mshana kwenye ule ujinga waliomfanyia!Sinaga hakika kama Mshana Jr ndio aliruhusu hayo !!!.
Kuna namna ilitokeaa, huenda Demiss aliwah toa namba huko nyuma kabla ya Mshana Jr??
Sijui kwa kweli!!
Dua la kuku mkuu kamwe haliwezi kunipataSiku yako yaja kwa speed ya 4g tutakurukia kama tulivyomrukia mke wa nik
Hutaweza jua tunakuja kwa staili gani tuna mbinu nyingi zaidi ya shetani......stay tunedDua la kuku mkuu kamwe haliwezi kunipata
Me nilikuwa naye SAMBAMBA nikaingizwa na mie nikachambwaa na Uzi juu 😂😂😂😂Mkamkimbiaaa..SIJUI KAMA MLIUNGANA KUMTETEA.
Yaan unakuja kutupa presha jamani mweee mwanza tena![]()






mama G tulia baasiNani huyo?Me nilikuwa naye SAMBAMBA nikaingizwa na mie nikachambwaa na Uzi juu![]()
Nilimwambia we tukana tu ila usitegemee nitakimbia hii Id.
Sahivi mjamaa tunakwotiana fresh 'alibadili id sijui anajua hajulikani![]()
Na Arushana Mbagala
Nacheka kwa mshtuko![]()






!!!bado nasubiri buguruni kwa mnyamanii...nianze kutafakari kwa kina....!!!Uzuri upi unaozungumzia mkuuHutaweza jua tunakuja kwa staili gani tuna mbinu nyingi zaidi ya shetani......stay tuned
condition uwe mzuri tu ukiwa mbaya tutakupotezea
Kuna watu tuna alleg na kupima aisee sasa hiki anachotufanyia Carlos sio poa eti.







uwe mwanamke mzuri.....Uzuri upi unaozungumzia mkuu