Lepapalongo
Member
- Jan 28, 2009
- 92
- 11
Jamani naombeni msaada,ni jinsi gani ninaweza kutumia smart chip pale nyuma ya betri maana kuna nafasi hiyo kwa kudaka network kama modem.
Asante kaka nami pi nimepata
<br />ingia hapa <a href="http://support.dell.com/support/downloads/driverslist.aspx?os=WLH&catid=20&dateid=-1&impid=-1&osl=EN&typeid=-1&formatid=-1&servicetag=&SystemID=LATITUDE+D630&hidos=WW1&hidlang=en&TabIndex=&scanSupported=False&scanConsent=False" target="_blank">Drivers & Downloads</a> chagua windows unayo tumia download driver hii DELL_WIRELESS-5520-VODAFONE-_A07_R216764 baada ya hapo install chukua chip yako ya mordem kama ni tigo, voda au airtel weka kwenye sehemu inayokaa line nenda kwenye program ulio install fungua conect to internet hakikisha bluetooth iko on hiyo ndio mordem yako huna haja ya kuhangaika na mordem huo ndio ubora wa dell na hiyo iko powerfull kuliko mordem
kwa dell D620 ingia hapa Drivers & Downloads chagua window yako downloadsr. Hiyo sooftware ina2mika hata kwenye DELL D620 ?
kwa dell D620 ingia hapa Drivers & Downloads chagua window yako download
Bosi Masiko mi siyo Sister Fatma and I do apologyse for the interfearance but napenda nikupe technical advice. And that is;Dada Fatma, vipi kuhusu D830 inatumia window 7