Kitabu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 302
- 26
wakuu nina laptop aina ya Dell 610,upande wa betri unaleta shida sana,nikiitoa betri na kuirudisha nikiwasha laptop inakubali,nikichomeka kwenye umeme baada ya muda na kuchomoa cable ya umeme,laptop inazima kama hakuna betri vile,halafu kila siku charge ya betri inapungua,inaonekana hawi charged,nifanyeje wakuu