Mukwano jebaleko
JF-Expert Member
- Mar 30, 2015
- 402
- 214
Akina mshana Jr watatupa uzoefu wao hii imekaaje?
[emoji23] [emoji23] mkuu utaenda kusomea nn?Ningeweza kusoma hii ningefurahi sana,hakuna raha kama niko Mwanza hapa afu naamua tu bila pesa nasepa Mbeya au Dar na kurudi kimya kimya!
Kwann mkuu?Duuuh noma kweliiiii!!!!!
Uchawi aisee[emoji3] [emoji2] kupaa raha sana[emoji23] [emoji23] mkuu utaenda kusomea nn?
Hahaha kupaaa kwa mashariti mkuu!Uchawi aisee[emoji3] [emoji2] kupaa raha sana
Hiyo degree field zao wanafanyia wapi!!!Kwann mkuu?
MKUU bila shaka watakua wamejipanga!Hiyo degree field zao wanafanyia wapi!!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] mzee hawa jamaa wanaweza fanya politeHii tamu,sijui n vigezo gan Wanatumia kujiunga.hiyo course??
Hv huwez kutumia uchawi.kung`oa visiki kwenye shamba??
Hakika aisee...sijui ukiwa mchawi lazima ufanye mambo ya ajabu[emoji23] [emoji23] [emoji23] mzee hawa jamaa wanaweza fanya polite
Tuwasubiri mshana Jr na mzizi mkavu[emoji87]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kama ni IT watu wanasema ni uchawi wa kizungu kwann uchawi usiwe sayansi ya Afrika na ukatumika kufanya mambo mazuri na ya maendeleo yasiyo na madhara kwa watu?Hakika aisee...sijui ukiwa mchawi lazima ufanye mambo ya ajabu
Nataman kuisomea hiyo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mshana itakuwa alikuwa na sap so kaenda kuclear hapo.