ukikutana na scropion huko angan utajutaUchawi aisee[emoji3] [emoji2] kupaa raha sana
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kama ni IT watu wanasema ni uchawi wa kizungu kwann uchawi usiwe sayansi ya Afrika na ukatumika kufanya mambo mazuri na ya maendeleo yasiyo na madhara kwa watu?
MKUU HIYO HIYO NDO NATAKA MIMIuchawi sifahamu sana ila mimi nafahamu miujiza ya kufanya ikaonekana sio ya kuficha ficha mkuu
Rakims
nenda search hapo juu jf andika rakims utapata uzi zangu zote..MKUU HIYO HIYO NDO NATAKA MIMI