dedicate this to your wife

So nice, ila kwa Waafrika wengi tunajua mapenzi ni sexual part tu (nasema wengi), wachache ndiyo wanajua kuwa wanawake wanakuwa so sensational by words and actions. But men are more sensational by actions. Sasa basi maneno matamu ukiyatumia mwanamke ana respond sana katika relationship and the actual act. Sasa tunajisahau mno, mke hata siku moja hajasikia neno la hisia ya mapenzi toka kwa mume!!! Unategemea nini hapa? Tubadilike. Asante Mkuu Choroquin kwa kutukumbusha wajibu wetu.
 
safi sana mpwa!....

maralia haikubaliki

jamani hata haya mashairi yanatosha kubadilisha hisia.
yan nimesoma tu mwili umesisimka,nimepata faraja as if it was my dedication BIG UP KLOROKWIN.
nini gari bwana,hata kwetu yapo!!!

Mkuu nashukuru kwa kuturahihishia kazi.

So nice, ila kwa Waafrika wengi tunajua mapenzi ni sexual part tu (nasema wengi), wachache ndiyo wanajua kuwa wanawake wanakuwa so sensational by words and actions. But men are more sensational by actions. Sasa basi maneno matamu ukiyatumia mwanamke ana respond sana katika relationship and the actual act. Sasa tunajisahau mno, mke hata siku moja hajasikia neno la hisia ya mapenzi toka kwa mume!!! Unategemea nini hapa? Tubadilike. Asante Mkuu Choroquin kwa kutukumbusha wajibu wetu.

pamoja sana waheshimiwa. God bless ya
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom