i like your like. senks
hehehe ulijuaje? ndie mimi kulia waifu kushoto nyumba ndogo lakini hawajuani. lolhheehehe naona wanipigia makofi tuu hapo we ni huyo wa pili alioko katikati nini??
coming soon. lolNa tulio na ma GF ndo tufanyaje?
hehehe ulijuaje? ndie mimi kulia waifu kushoto nyumba ndogo lakini hawajuani. lol
hehe ankal ukichelewa nitalipeleka mimi. lolAnkal ngoja nisubiri arudi
Ha ha ha ankal bana nitatoa upepo ile baiskeli ili usiweze kwenda lol!!!hehe ankal ukichelewa nitalipeleka mimi. lol
dah! hili nalo neno. hili laifu limekuwa halina formula kabisa yaani. senks mkuuKlorok..
Mashairi ya nini, siku hizi wake wanahitaji pesa na siyo mashairi!
Ukikosa sana mnunulie GX 100 - lakini mashairi hayana mpango siku hizi!
VITZ na NADIA ndio mashairi siku hiziKlorok..
Mashairi ya nini, siku hizi wake wanahitaji pesa na siyo mashairi!
Ukikosa sana mnunulie GX 100 - lakini mashairi hayana mpango siku hizi!
VITZ na NADIA ndio mashairi siku hizi
Umeona eheeee!!!!!!!na wengi wakufa kwa sababu ya hivi viberiti gari
Umeona eheeee!!!!!!!
Hauwaelezi kitu when it comes to that, sijui huwa wanafikiria thats all matters nafikiri huwa wanapenda ule mchezo wa kutembea wananing'iniza funguo mkononi si unajua tenahivi vinyangoma vya kibongo vikishaona gari tu basiiiii!