JAMHURI
JF-Expert Member
- Dec 15, 2010
- 449
- 60
Akiwa kwenye kikao cha baraza la madiwani, Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya Wilaya ya Kiteto, Tamimu Kambona, alisema Kampuni ya Jatu imepiga hodi Kiteto
Amesema pamoja na mambo mengine inataka kufanya uwekezaji wa thamani ya bill 7.5 katika kilimo cha umwagiliaji
Pale wanavyodai watakuwa na misimu mitatu ya mazao, sawa kama hivyo ndio, Kiteto ya leo muda ukifika itakuwa Kiteto iliyopaa kwa maendeleo
Kikubwa hapa ni Yale malengo yaliyopangwa yatimie, najua kupanga ni jambo moja kutekeleza ni jambo lingine, sasa niwaombee Jatu waweze kutimiza ndoto zao kwa manufaa ya Taifa hili
Amesema pamoja na mambo mengine inataka kufanya uwekezaji wa thamani ya bill 7.5 katika kilimo cha umwagiliaji
Pale wanavyodai watakuwa na misimu mitatu ya mazao, sawa kama hivyo ndio, Kiteto ya leo muda ukifika itakuwa Kiteto iliyopaa kwa maendeleo
Kikubwa hapa ni Yale malengo yaliyopangwa yatimie, najua kupanga ni jambo moja kutekeleza ni jambo lingine, sasa niwaombee Jatu waweze kutimiza ndoto zao kwa manufaa ya Taifa hili