je hapo kuna watu wengine hapo kigamboni wanaona fresh?kwani hata hapa dar kuna sehemu kwa antena za kawaida inakataa hadi utumie dish lao!kama vipi kawaone ofisi zao zipo kama unakwenda bagamoyo kuna kituo kinaitwa jogoo,teremka hapo,ulizia kanisa la AGAPE.utafika,tatizo lao hata namba za simu za huduma kwa wateja hazipatikani na zikipatikana hazipokelewi!