Decision Support systems in Agriculture

Rebeca 83

JF-Expert Member
Jun 4, 2016
14,840
31,583
Habari wakuu,

Nimesubiria story of change competition ianze naona haiji. Lol

Nimekutana na hii kitu ya Data Science in Agriculture...nikaona ni share na nyie.

Specific Kuna Decision Support Systems (DSS's) kwenye Data Science in Agriculture.

Use of data to support Agriculture systems... Una explore data ambayo ita facilitate decision-making , which eventually ita optimize Agriculture Productivity.

Nimeona specific wakulima wanaweza kutumia Data , kujua kutokana na mazingira walime muda gani, walime nini, kwa kiwango gani, ufanisi wa gharama (Cost effectiveness), Best Alternatives, na kama kutakuwa na effects za unforeseen circumstances, etc.. Na serikali inatumia data ku monitor trends, ili na yenyewe ifanye decisions zitakazosaidia wananchi kupitia KIlimo

Sijui kama tayari systems ya hivi tayari ina exist Tanzania.

Kama haipo mimi nadhani itakuwa nzuri kuijumuisha kwenye maamuzi ya serikali.

Kwa mfano, una explore labda zao fulani eg Parachichi linahitajika zaidi China at this time of the year.

Then unawaambia labda watu wa mkoa fulani walime zao hili at this time na labda kuongeza chances za kuuza na kuondoa competition serikali baada ya kuexplore data 😀 inawaambia wakulima specific maparachi yanayohitajika ni yale makubwa than average, yasiyo na kemikali hivyo wasitumie mbolea zenye kemikali nyingi, (sio mkulima mie, huu ni mfano tu..;) 😀), labda serikali kazi yake inakua tu kutafuta Masoko tu huko Nje.

Mimi nahisi Serikali ikishirikiana na wakulima kupitia hii system, tutaona matunda.

Sababu tumebarikiwa ardhi kubwa tu (44 Millions Hectares), out of this only 33% is used in Agriculture(Sijajua current status, niliandika thread last year, LOL)

65% ya Total employment (Workforce) iko kwenye Agriculture in Tanzania.

So unaweza kuona, Tuna large arable land, tuna workforce kubwa kwenye Agriculture yet the output is small/Faida ya kilimo tuñaiona ni ndogo.

Nahisi tuki optimize Agriculture Productivity kwa kutumia Data, tutaongeza sio tu Food security, bali pia revenues na kuboost our economic prospects.

Agriculture ni one of the areas Tanzania inaweza ika unlock her potential.

Nini mawazo yenu kuhusu hili.

Karibuni.

Becky.
 
Wazo zuri..
Ila nadhani hayo uliyoelezea yanaweza kutekelezwa vizuri zaidi na private sector kuliko serikali.
Kusubiri serikali ifanye utafiti, ikuletee data zenye tija za kukuwezesha kushindana sokoni (hasa export) kwa ufanisi, ni kujiandaa kuangukia pua!!
 
Wazo zuri..
Ila nadhani hayo uliyoelezea yanaweza kutekelezwa vizuri zaidi na private sector kuliko serikali.
Kusubiri serikali ifanye utafiti, ikuletee data zenye tija za kukuwezesha kushindana sokoni (hasa export) kwa ufanisi, ni kujiandaa kuangukia pua!!
Tunakosea mkuu... tukishirikiana na serikali kufanya large scale farming, tukakuza uchumi kila mtu atafaidika kupitia kilimo, lakini kila mtu akijifanyia kivyake tunajiweka kwenye vulnerable position wenyewe.... maanake tunajilimia tu bila kutumia data.
 
Tunakosea mkuu... tukishirikiana na serikali kufanya large scale farming, tukakuza uchumi kila mtu atafaidika kupitia kilimo, lakini kila mtu akijifanyia kivyake tunajiweka kwenye vulnerable position wenyewe.... maanake tunajilimia tu bila kutumia data.
Meaning, ni serikali tu ndo inaweza KUPATA hizo data?!
My worry is, the government is inherently inefficient in business operations.
Kumbuka hapo utakuwa unashughulika na wizara. Jambo la kufanya siku moja inawachukuwa miezi kadhaa.
Au siku hizi hawana ukiritimba?
 
Meaning, ni serikali tu ndo inaweza KUPATA hizo data?!
My worry is, the government is inherently inefficient in business operations.
Kumbuka hapo utakuwa unashughulika na wizara. Jambo la kufanya siku moja inawachukuwa miezi kadhaa.
Au siku hizi hawana ukiritimba?
Kwa sasa hivi hizo Data zipo?? Mkuu haoni faida ya hii kitu at national level???

I agree kuna ukiritimba Mwingi na serikali haiko efficient kwenye business operations,ila ndio maana kuna platform kama hii tuisaidie Tanzania kujua wapi tuna potential ya kuinvest kama Taifa, na sio kila mtu kujifanyia decisions zake, hatutumiii hii resource (Arable land) vizuri kama kila mtu anajilimia tu bila kuwa na data....
 
Niliwaza suala kama hili vita ya Ukraine ilipoanza. Nilijua mwanzo vita itakuwa fupi na athari zitatokea kwenye bei ya mafuta tu ila vita ilipofikisha wiki mbili nikajua sio ya kuisha mapema. Kwahiyo nikaona bei ya ngano itapanda, bei ya nafaka zote, karatasi, mafuta ya kupikia na mengineyo.

Ni rahisi kufanya predictions kutokana na matukio ya dunia au kufanya forecasting. China wakifika msimu wa sikukuu zao huwa wanafanya consumption kubwa ya nyama ya nguruwe. Inputs za msingi sana nyingine ni misimu ya mavuno ya nchi mbalimbali kwa mazao makuu, achana na muhogo sasa unalima muhongo ukamlishe nani pale Paris au Berlin. Tunaweza fanya uzalishaji kimitego, msimu wa parachichi Australia utateka soko la China, je sisi msimu wetu uko tofauti na wao maana supply inatakiwa muda wote? Kama msimu uko sawa basi consideration yetu iwe kuuza Ulaya maybe, kama misimu ni tofauti basi tuvamie China tukapambane na kina Mexico.

Brazil wakipigwa na baridi kali au barafu kwa misimu isiyo kawaida uzalishaji wa kahawa upungua na kupelekea bei kupanda duniani, Madagascar wakipata hali mbaya ya hewa uzalishaji wao wa vannila upungua, India wakipata tatizo kwenye korosho ujue hapo bei duniani itapanda sana. Likitokea tatizo Malaysia au Indonesia basi supply ya mafuta ya kupikia kwenye soko la dunia inashuka na bei inapanda.

Au tunatafuta soko ambalo tutaonea, mfano Waarabu wanafuga ng'ombe wa maziwa for food security. Niliona Qatar wanachukua hatua hiyo baada ya kuwekewa embargo na Saudi Arabia kwenye mgogoro wao miaka kama minne iliyopita. Hata wafanye nini, hawawezi kuwa na cost of production ndogo kuliko sisi. Tukizalisha kwa quality nzuri tunaweza peleka maziwa kwa Waarabu na wakanunua cheap kuliko wakizalisha wao.

Ila tunajisumbua kuropoka bure kama serikali haina mpango. Kuzalisha chai ya viwango kama Kenya au Rwanda tumeshindwa tunatoa majani kama ya kuliwa na mbuzi. Rwanda chai yao ina bei zaidi ya 50% ya chai yetu kwenye soko la dunia
 
Niliwaza suala kama hili vita ya Ukraine ilipoanza. Nilijua mwanzo vita itakuwa fupi na athari zitatokea kwenye bei ya mafuta tu ila vita ilipofikisha wiki mbili nikajua sio ya kuisha mapema. Kwahiyo nikaona bei ya ngano itapanda, bei ya nafaka zote, karatasi, mafuta ya kupikia na mengineyo.

Ni rahisi kufanya predictions kutokana na matukio ya dunia au kufanya forecasting. China wakifika msimu wa sikukuu zao huwa wanafanya consumption kubwa ya nyama ya nguruwe. Inputs za msingi sana nyingine ni misimu ya mavuno ya nchi mbalimbali kwa mazao makuu, achana na muhogo sasa unalima muhongo ukamlishe nani pale Paris au Berlin. Tunaweza fanya uzalishaji kimitego, msimu wa parachichi Australia utateka soko la China, je sisi msimu wetu uko tofauti na wao maana supply inatakiwa muda wote? Kama msimu uko sawa basi consideration yetu iwe kuuza Ulaya maybe, kama misimu ni tofauti basi tuvamie China tukapambane na kina Mexico.

Brazil wakipigwa na baridi kali au barafu kwa misimu isiyo kawaida uzalishaji wa kahawa upungua na kupelekea bei kupanda duniani, Madagascar wakipata hali mbaya ya hewa uzalishaji wao wa vannila upungua, India wakipata tatizo kwenye korosho ujue hapo bei duniani itapanda sana. Likitokea tatizo Malaysia au Indonesia basi supply ya mafuta ya kupikia kwenye soko la dunia inashuka na bei inapanda.

Au tunatafuta soko ambalo tutaonea, mfano Waarabu wanafuga ng'ombe wa maziwa for food security. Niliona Qatar wanachukua hatua hiyo baada ya kuwekewa embargo na Saudi Arabia kwenye mgogoro wao miaka kama minne iliyopita. Hata wafanye nini, hawawezi kuwa na cost of production ndogo kuliko sisi. Tukizalisha kwa quality nzuri tunaweza peleka maziwa kwa Waarabu na wakanunua cheap kuliko wakizalisha wao.

Ila tunajisumbua kuropoka bure kama serikali haina mpango. Kuzalisha chai ya viwango kama Kenya au Rwanda tumeshindwa tunatoa majani kama ya kuliwa na mbuzi. Rwanda chai yao ina bei zaidi ya 50% ya chai yetu kwenye soko la dunia
Usiikatie tamaa Tanzania kwa kusema hata tufanye nini tunajisumbua kama serikali haina mpango. Mimi naona tuwe na uzalendo kwa kuionyesha serikali yetu wapi panaweza kuwa pana Investment opportunities....Inawezekana kutokujua ndio sababu.......................Mimi naona wizara ya Kilimo imepata mtu makini (Mheshimiwa waziri Bashe), sana sana tutakachofanya ni kumuonyesha ideas then atazifanyia kazi.....

Nimependa ulivyosema tulime/tuzalishe vitu strategically ,, tutumie data ku explore demand kwa ku identify Mazao, vitu vinavyopendwa Kwa msimu husika na trends zinvyoendelea duniani,then tutumie data kuzalisha,....sidhani kama small scale farming inatufaa watanzania, this current system.. small scale /KIla mtu kujilimia kivyake..is inefficient since hii Ardhi is not used to the optimum level in other words inamnufaisha Mkulima ama Mtanzania kidogo sana....Lakini, tukilima stratergically na kutumia Technology kama hii ninayo propose Tanzania itaongeza faida na watanzania watafaidika kupitia kilimo....

Nimependa pia ulivyoenda into detail, wapi tunaweza kupata masoko huko nje,... 👍👍👍👍..Tukiifanyia serikali wepesi kama ulivyofanya labda itawa motivate kuanza kufikiria ku export mazao yanayotokana na Kilimo kwenye hizo nchi... kuliko kutojua kabisa wapi should be their starting point....

Mwisho sisi kuzalisha chai ya chini ya viwango au bei ya Chai ya Rwanda kufanya vizuri kwenye soko la dunia kuliko sisi ni kutojua au kutolisoma soko huko duniani, mfano ukijua specific majani ya chai fulani yanayolimwa kwenye Mazingira fulani yana specific features ndio yanayopendwa zaidi duniani wewe ndio unazalisha hayo au una modify kidogo kuimprove quality then ndio unauza,,,,,,,,Sio unajipelekea majani ya Chai tu huko kwenye soko la dunia....tunaweza tukaimprove quality na kuondoa competition kwa kusoma specific kinachohitajika na jinsi ya kukilima/kudeliver...mfano mimi sielewi kwa nini tunalima Korosho na Korosho ni moja ya mazao yako kwenye demand duniani kwa nini tusiangalie jinsi wengine wanaofanya vizuri kwenye kuuza korosho na kama tunaweza kulima na kusupply Korosho kama hizo ama even better... thanks mkuu.....
 
Habari wakuu,

Nimesubiria story of change competition ianze naona haiji. Lol

Nimekutana na hii kitu ya Data Science in Agriculture...nikaona ni share na nyie.

Specific Kuna Decision Support Systems (DSS's) kwenye Data Science in Agriculture.

Use of data to support Agriculture systems... Una explore data ambayo ita facilitate decision-making , which eventually ita optimize Agriculture Productivity.

Nimeona specific wakulima wanaweza kutumia Data , kujua kutokana na mazingira walime muda gani, walime nini, kwa kiwango gani, ufanisi wa gharama (Cost effectiveness), Best Alternatives, na kama kutakuwa na effects za unforeseen circumstances, etc.. Na serikali inatumia data ku monitor trends, ili na yenyewe ifanye decisions zitakazosaidia wananchi kupitia KIlimo

Sijui kama tayari systems ya hivi tayari ina exist Tanzania.

Kama haipo mimi nadhani itakuwa nzuri kuijumuisha kwenye maamuzi ya serikali.

Kwa mfano, una explore labda zao fulani eg Parachichi linahitajika zaidi China at this time of the year.

Then unawaambia labda watu wa mkoa fulani walime zao hili at this time na labda kuongeza chances za kuuza na kuondoa competition serikali baada ya kuexplore data inawaambia wakulima specific maparachi yanayohitajika ni yale makubwa than average, yasiyo na kemikali hivyo wasitumie mbolea zenye kemikali nyingi, (sio mkulima mie, huu ni mfano tu..;) ), labda serikali kazi yake inakua tu kutafuta Masoko tu huko Nje.

Mimi nahisi Serikali ikishirikiana na wakulima kupitia hii system, tutaona matunda.

Sababu tumebarikiwa ardhi kubwa tu (44 Millions Hectares), out of this only 33% is used in Agriculture(Sijajua current status, niliandika thread last year, LOL)

65% ya Total employment (Workforce) iko kwenye Agriculture in Tanzania.

So unaweza kuona, Tuna large arable land, tuna workforce kubwa kwenye Agriculture yet the output is small.

Nahisi tuki optimize Agriculture Productivity kwa kutumia Data, tutaongeza sio tu Food security, bali pia revenues na kuboost our economic prospects.

Agriculture ni one of the areas Tanzania inaweza ika unlock her potential.

Nini mawazo yenu kuhusu hili.

Karibuni.

Becky.
Unaposemea Data Science unasemea AI na ML. Sasa tujiulize vyuo vingapi Tz vinafundisha Data science/AI/ML? Ukipata jibu jiulize Muamko wa serikali kwenye technolojia upo?

Hili swala kufanywa na serikali ni uongo! Nadhani itafaa sana likifanywa na vyuo vikuu hasa hada chuo cha SUA wakishirikiana na UDSM na mandela pale arusha!

Mpaka hapo tutakua tunaongelea tafiti..swali la mwisho serikali isha wahi kupanga bajeti ya tafiti lini?
 
Unaposemea Data Science unasemea AI na ML. Sasa tujiulize vyuo vingapi Tz vinafundisha Data science/AI/ML? Ukipata jibu jiulize Muamko wa serikali kwenye technolojia upo?

Hili swala kufanywa na serikali ni uongo! Nadhani itafaa sana likifanywa na vyuo vikuu hasa hada chuo cha SUA wakishirikiana na UDSM na mandela pale arusha!

Mpaka hapo tutakua tunaongelea tafiti..swali la mwisho serikali isha wahi kupanga bajeti ya tafiti lini?

Usiniite Muongo please..why should i lie?

Data Science nimeangalia, inatolewa UDSM, Open University ya Tanzania, so wanajitahidi hata kama vyuo ni vichache, tunachotakiwa kufanya ni kuichagiza serikali ione kuna umuhimu wa kuiangalia hio course kama kuna umuhimu itolewe vyuo vingi...

Data Science is a wider field, hata United Kingdom vyuo vikuu vinavyotoa Data science in Agriculture,niliona kimoja, sidhani vinafika vitatu...(sijaexlplore vizuri), Kisha sidhani Kama Data Science na AI ni the same field, labda kutakuwa certain aspects zitakazo overlap,

Kuwa effective hizi DSS's zitahitaji tafiti/inputs kutoka different fields, nahisi kutahitajika Market Researchers,Economy Analysts,etc, sasa sijui kama hizi courses zinapatikana SUA?..kama zinapatikana well and good...but i still maintain hili ni jukumu la serikali kufanya decisions on our behalf, sana sana inachoweza kufanya ni kuwatumia hao wataalamu wa hivyo vyuo ku collect data, serikali baada ya kupata data na insights ,kisha kufanya decisions labda tulime nini then ndio inakuja kwetu sisi wananchi....

I believe, hii kitu ikiachiwa kwa Private au Vyuo vichache halitakuwa effective in the long run, serikali ikiwa serious kuitumia hii kitu tutaona matunda postive (My beliefs),
 
Usiniite Muongo please..why should i lie?

Data Science nimeangalia, inatolewa UDSM, Open University ya Tanzania, so wanajitahidi hata kama vyuo ni vichache, tunachotakiwa kufanya ni kuichagiza serikali ione kuna umuhimu wa kuiangalia hio course kama kuna umuhimu itolewe vyuo vingi...

Data Science is a wider field, hata United Kingdom vyuo vikuu vinavyotoa Data science in Agriculture,niliona kimoja, sidhani vinafika vitatu...(sijaexlplore vizuri), Kisha sidhani Kama Data Science na AI ni the same field, labda kutakuwa certain aspects zitakazo overlap,

Kuwa effective hizi DSS's zitahitaji tafiti/inputs kutoka different fields, nahisi kutahitajika Market Researchers,Economy Analysts,etc, sasa sijui kama hizi courses zinapatikana SUA?..kama zinapatikana well and good...but i still maintain hili ni jukumu la serikali kufanya decisions on our behalf, sana sana inachoweza kufanya ni kuwatumia hao wataalamu wa hivyo vyuo ku collect data, serikali baada ya kupata data na insights ,kisha kufanya decisions labda tulime nini then ndio inakuja kwetu sisi wananchi....

I believe, hii kitu ikiachiwa kwa Private au Vyuo vichache halitakuwa effective in the long run, serikali ikiwa serious kuitumia hii kitu tutaona matunda postive (My beliefs),
Kwanza SUA hawana hiyo kozi ila nilitaja SUA maana naamini wao wako vizuri kwenye kilimo tofauti na wengine. Hivyo ukichua sua ukachanganya na udsm au nelson mandela tutapiga hatua..

Ni kweli udsm wana data science japo kwa level ya Msc na bado naona ni mpya mpya..

Data science na ML au AI ni sawa na baba na mtoto. Ni maajabu mpaka sasa nchi nzima hakuna chuo kinachotoa pure machine learning programme.

Pia labda ulielewa vibaya hamna sehem nimekuita muongo!

Lastly, hii issue kufanikiwa kwa serikali inayo waza kujenga matundu ya vyoo tutangoja sana. Vyuo vikuu ndio itakua sehem nzuri ya kuanzia na kama nilivyosema hapo juu, SUA waungane na udsm na nelson mandela kufanikisha hili (na serikali ikiweza iwape support japo najua ni ngumu serikali kufanya hivyl).
 
Kwanza SUA hawana hiyo kozi ila nilitaja SUA maana naamini wao wako vizuri kwenye kilimo tofauti na wengine. Hivyo ukichua sua ukachanganya na udsm au nelson mandela tutapiga hatua..

Ni kweli udsm wana data science japo kwa level ya Msc na bado naona ni mpya mpya..

Data science na ML au AI ni sawa na baba na mtoto. Ni maajabu mpaka sasa nchi nzima hakuna chuo kinachotoa pure machine learning programme.

Pia labda ulielewa vibaya hamna sehem nimekuita muongo!

Lastly, hii issue kufanikiwa kwa serikali inayo waza kujenga matundu ya vyoo tutangoja sana. Vyuo vikuu ndio itakua sehem nzuri ya kuanzia na kama nilivyosema hapo juu, SUA waungane na udsm na nelson mandela kufanikisha hili (na serikali ikiweza iwape support japo najua ni ngumu serikali kufanya hivyl).

Bro upepo wa pesa umezungumza point lakini nikuambie kuwa AI NA ML ni programme zipo sua since 2018 na nafikiri 2015 walianza kufundisha by now UDSM hadi PHD ya DS inapatikana. Hapa tunachoweza sema ni serikali inakuwaga na mlolongo mrefu mpaka kitu kikubalike na kupita.



So issue kubwa iko hapo

Haya mengine hayana shida.
 
Habari wakuu,

Nimesubiria story of change competition ianze naona haiji. Lol

Nimekutana na hii kitu ya Data Science in Agriculture...nikaona ni share na nyie.

Specific Kuna Decision Support Systems (DSS's) kwenye Data Science in Agriculture.

Use of data to support Agriculture systems... Una explore data ambayo ita facilitate decision-making , which eventually ita optimize Agriculture Productivity.

Nimeona specific wakulima wanaweza kutumia Data , kujua kutokana na mazingira walime muda gani, walime nini, kwa kiwango gani, ufanisi wa gharama (Cost effectiveness), Best Alternatives, na kama kutakuwa na effects za unforeseen circumstances, etc.. Na serikali inatumia data ku monitor trends, ili na yenyewe ifanye decisions zitakazosaidia wananchi kupitia KIlimo

Sijui kama tayari systems ya hivi tayari ina exist Tanzania.

Kama haipo mimi nadhani itakuwa nzuri kuijumuisha kwenye maamuzi ya serikali.

Kwa mfano, una explore labda zao fulani eg Parachichi linahitajika zaidi China at this time of the year.

Then unawaambia labda watu wa mkoa fulani walime zao hili at this time na labda kuongeza chances za kuuza na kuondoa competition serikali baada ya kuexplore data 😀 inawaambia wakulima specific maparachi yanayohitajika ni yale makubwa than average, yasiyo na kemikali hivyo wasitumie mbolea zenye kemikali nyingi, (sio mkulima mie, huu ni mfano tu..;) 😀), labda serikali kazi yake inakua tu kutafuta Masoko tu huko Nje.

Mimi nahisi Serikali ikishirikiana na wakulima kupitia hii system, tutaona matunda.

Sababu tumebarikiwa ardhi kubwa tu (44 Millions Hectares), out of this only 33% is used in Agriculture(Sijajua current status, niliandika thread last year, LOL)

65% ya Total employment (Workforce) iko kwenye Agriculture in Tanzania.

So unaweza kuona, Tuna large arable land, tuna workforce kubwa kwenye Agriculture yet the output is small.

Nahisi tuki optimize Agriculture Productivity kwa kutumia Data, tutaongeza sio tu Food security, bali pia revenues na kuboost our economic prospects.

Agriculture ni one of the areas Tanzania inaweza ika unlock her potential.

Nini mawazo yenu kuhusu hili.

Karibuni.

Becky.

Hii ni hoja nzuri shida ni upande unaoutegemea uisupport hoja yako.
 
DSS Tanzania zipo--ila kwenye kampuni kubwa za kilimo(Private--za wawekezaji wa nje)--hivyo taarifa ziko kwao--ndio maana penye uwekezaji wa haya makampuni--wanapata majirani kutoka nchi zao--mashamba yanatumia geospacialcarto.hydro data na ma automated systems kibao yamefungwa kwenye tractors kufanya analysis--Serikali yetu haipo serious na kilimo---mashamba ya NAFCO yanagaiwa tu ili wananchi wapate viwanja....Useless idea's--na sijui wizara inayogawa hayo maeneo haiwazi kwanini maeneo hayo yalitengwa.
Basi tu huwezi kuikana nchi yako---ila hatuko serious kabisa.
Watupe vijana tuwaonyeshe kazi.
 
Back
Top Bottom