Mtazamaji
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 5,937
- 1,437
Haya katika ufutilia mwenendo wa siasa na uongozi nchi mwetu nmegundua kuna tatizo moja nalo ni la kufanya maamuzi kwa lugha ya kimomdbo tunasema decision making.
Najua viongozi wa serikali ,mashirika na taasisi wanahudhuruai semina elekzi nyingi lakini nina wasi wasi kwenye semina elekezi walizohudhuria wamewahi kukumbushwa
Je
Kwa article mbali mbali la hili somo nyeti hasa kwa viongozi tembelea au mnaweza ku google Decision Making process.
http://www.decision-making-confidence.com/decision-making-models.html
http://www.decision-making-confidence.com/decision-making-models.html
http://www.freeworldacademy.com/newbizzadviser/fw23.htm
Karibu tuenedlee kutoa semina elekezi huru ...
Mtazamaji
Najua viongozi wa serikali ,mashirika na taasisi wanahudhuruai semina elekzi nyingi lakini nina wasi wasi kwenye semina elekezi walizohudhuria wamewahi kukumbushwa
- umuhimu wa kutumia njia, nyenzo na taarifa sahihi kabla ya kufanya maamuzi ya kitendaji
- Faida au hasara ya kila amuzi atalofanya
- Faida za muda mfupi na muda mrefu wa kila maamuzi atakalofanya
- Gharama na kila maamuzi
- Risk ya kila maamuzi
Je
- Je wizara idara mashirika yantumia decsion making model gani katika kugawa tender,kuwekeza,kubinafsisha, kuajiri, kupanga bajeti?
- kuna mambo tunshindwa kupiga hatua sababu viongozi wetu ni risk taker katika maamuzi yao
- kuna shemu tunashindwa kupiga hatua sababu viongozi wetu ni risk avoider katika maamuzi yao
- Sekta gani au maamuzi gani ya yainahitaji decison maker amabao ni risk taker na sekta au viongozi gani wanataiwa kuwa risk avoider?
Kwa article mbali mbali la hili somo nyeti hasa kwa viongozi tembelea au mnaweza ku google Decision Making process.
http://www.decision-making-confidence.com/decision-making-models.html
http://www.decision-making-confidence.com/decision-making-models.html
http://www.freeworldacademy.com/newbizzadviser/fw23.htm
Karibu tuenedlee kutoa semina elekezi huru ...
Mtazamaji