Kaitaba
JF-Expert Member
- Jun 30, 2009
- 916
- 52
DECI siri nzito
Ilisajiliwa nchini na BRELA 2007, ina trilioni 1.038
na Edward Kinabo
HATIMAYE siri imefichuka kuwa Kampuni ya Development Entrepreneurship for Community Initiative (DECI), inayojishughulisha na biashara ya kupanda na kuvuna pesa, ilianzishwa nchini mwaka 2007, baada ya kampuni yenye mfumo kama huo kufa huko nchini Kenya na kuwadhulumu maelfu ya wanaupatu wake waliokuwa wamejiunga nayo.
Vyanzo mbalimbali vya kuaminika, vimelitaarifu gazeti hili kuwa, raia mwema mmoja, jina tunalo, ndiye anayedaiwa kufichua siri ya DECI
Aidha, taarifa za kuaminika kuhusu uchunguzi uliofanywa na kitengo cha kuzuia fedha haramu cha Kurugenzi ya Makosa ya Jinai, ndani ya Jeshi la Polisi nchini, zilieleza kuwa DECI ilisajiliwa nchini na Msajili wa Makampuni (BRELA), mwaka 2007, na kupewa namba ya usajili 61334.
Kwa mujibu wa maelezo ya wakurugenzi wa DECI Tanzania, ni kwamba kampuni hiyo ilianzishwa kwa madhumuni ya kusaidia wajasiriamali wadogo wadogo kupitia TRF (Tushikamane Revolving Fund
Ilisajiliwa nchini na BRELA 2007, ina trilioni 1.038
na Edward Kinabo
HATIMAYE siri imefichuka kuwa Kampuni ya Development Entrepreneurship for Community Initiative (DECI), inayojishughulisha na biashara ya kupanda na kuvuna pesa, ilianzishwa nchini mwaka 2007, baada ya kampuni yenye mfumo kama huo kufa huko nchini Kenya na kuwadhulumu maelfu ya wanaupatu wake waliokuwa wamejiunga nayo.
Vyanzo mbalimbali vya kuaminika, vimelitaarifu gazeti hili kuwa, raia mwema mmoja, jina tunalo, ndiye anayedaiwa kufichua siri ya DECI
Aidha, taarifa za kuaminika kuhusu uchunguzi uliofanywa na kitengo cha kuzuia fedha haramu cha Kurugenzi ya Makosa ya Jinai, ndani ya Jeshi la Polisi nchini, zilieleza kuwa DECI ilisajiliwa nchini na Msajili wa Makampuni (BRELA), mwaka 2007, na kupewa namba ya usajili 61334.
Kwa mujibu wa maelezo ya wakurugenzi wa DECI Tanzania, ni kwamba kampuni hiyo ilianzishwa kwa madhumuni ya kusaidia wajasiriamali wadogo wadogo kupitia TRF (Tushikamane Revolving Fund