Deception na VVU/UKIMWI

Jendahyeka 01

JF-Expert Member
Sep 3, 2017
212
166
Humu JF kuna member maarufu sana anaitwa deception huyu bwana ni miaka mingi humu JF alikuwa anapinga swala la uwepo wa VVU/UKIMWI. Kutokana na utafiti mwingi ambao huwa anaufanya katika maandiko mbali mbali, pia aliweza kupata wafuasi ambao walimuunga mkono hoja zake. Na wengine tukajikuta kati kwa kati Sasa naomba kumuuliza mkuu Deception..vip kuna nyongeza yoyote ya tafiti au bado ni zilezile za miaka ileile na kama atakuwa amegundua uwepo wa VVU/UKIMWI pia sio mbaya kutujuza...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo deception binafsi nashauri akamatwe akakae jela tu maana anaongeza maambukizi
masterplanner Nov 22, 2015
Kaka Deception, mambo vipi? samahani mkuu kwa kukufata inbox, nina problem moja naomba unisaidie kwa ushauri wako Mkuu. Nilipima HIV mwezi wa nne mwaka huu, nilikutwa positive, na nilipima mara 2, lakini sikushtuka kwasababu niliwahi kusoma hizi facts siku nyingi tu. Ila hali ya kuwa positive huwa inanikera sana. Ni udhaifu upi ambao upo nyuma ya vile vipimo vya HIV? na je kuna namna ambayo mtu anaweza ili vile vipimo vimdetect negative? Naomba msaada wako, maana tangu nipime mwezi wa nne sina hamu ya kupima tena, maana naona kama nitajipa stress tu.


Ukiisoma hiyo comment ya mwaka 2015 unaweza elewa namaanisha nn



Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kuna dogo yuko mtaani kwetu ni wa kike ndo yuko 4m 3/4 kama sijakosea ni mzuri balaa na anatako hatari halafu mchangamfu ila ana kaugonjwa na nasikia ni kakuzaliwa nao, dhaa roho imeniuma sana, unakuta ndo anakuja jirani kwenu hujuiii we una mrukia tu na alivyo lazima ule kavu.
 
1548146693565.png
 
UKIMWI sio ugonjwa

Nini maana yake? Unapo sema UKIMWI ni ugonjwa unakosea sana, na kama ni ugonjwa basi hii dunia kila mmoja ana ugonjwa huo.

Neno UKIMWI kirefu chake ni Upungufu wa Kinga Mwilini, bimana ukiwa na UKIMWI unakuwa na upungufu wa kinga katika mwili wako. Sasa kuwa upungufu kwa Kinga Mwilini ni ugonjwa???

Mfano mzuri katika suala hili ni kama hivi. Mtu mwenye UKIMWI ni sawa na mwenye UNGUKI yaani Upungufu wa Nguvu za Kiume, matendo haya yote yanarandana sawa kabisa kwa asilimia zote. Tendo moja linaonyesha upungufu wa Kinga mwilini na upungufu wa nguvu za kiume. Hivyo basi kama ata UKIMWI ungekuwa ni hatari na unaua hivyo hivyo UNGUKI ungekuwa ni hatari zaidi tena ungeua watu zaidi ya UKIMWI.

Upungufu wa Kinga Mwilini (UKIMWI) mpaka unampata binadamu ni kutokana na aina ya maisha anayo ishi. Hivyo hivyo katika Upungufu wa Nguvu za Kiume (UNGUKI) kuna aina fulani ya maisha ambayo mwanaume anaiishi ndio maana hutokea hivyo kama vile kupiga punyeto nakadhalika. Ndio maana kila kukicha watu wanazuka na madawa mbalimbali ya kuongeza nguvu za kiume, inamaanisha nini hiyo? Nguvu hupungua ila kuna uwezekano wa kuzirudisha.

Kama Upungufu wa Nguvu za Kiume (UNGUKI) kuna uwezekano mkubwa wa kurudisha nguvu za kiume iwe vipi Upungufu wa Kinga mwilini (UKIMWI) iwe ngumu kurejesha kinga mwilini? Aina ya maisha tunayo ishi, vyakula tulavyo hupelekea hayo yote kutokea kama tukifuata njia nzuri na sahihi hakika tutakuwa na nguvu na kinga nzuri zaidi.

Kuna watu wanasema Upungufu wa Kinga Mwilini (UKIMWI) hautibiki huo ni uongo mkubwa tena sana. Yaani mnataka kutuambia hakuna madawa ya kuongeza kinga mwilini kweli. Kama Upungufu wa Nguvu za Kiume unatibika basi ata Upungufu wa Kinga Mwilini unatibika pia.

NB: Sijasema UKIMWI haupo, UKIMWI upo yaani Upungufu wa Kinga Mwilini.

MGC
 
UKIMWI sio ugonjwa

Nini maana yake? Unapo sema UKIMWI ni ugonjwa unakosea sana, na kama ni ugonjwa basi hii dunia kila mmoja ana ugonjwa huo.

Neno UKIMWI kirefu chake ni Upungufu wa Kinga Mwilini, bimana ukiwa na UKIMWI unakuwa na upungufu wa kinga katika mwili wako. Sasa kuwa upungufu kwa Kinga Mwilini ni ugonjwa???

Mfano mzuri katika suala hili ni kama hivi. Mtu mwenye UKIMWI ni sawa na mwenye UNGUKI yaani Upungufu wa Nguvu za Kiume, matendo haya yote yanarandana sawa kabisa kwa asilimia zote. Tendo moja linaonyesha upungufu wa Kinga mwilini na upungufu wa nguvu za kiume. Hivyo basi kama ata UKIMWI ungekuwa ni hatari na unaua hivyo hivyo UNGUKI ungekuwa ni hatari zaidi tena ungeua watu zaidi ya UKIMWI.

Upungufu wa Kinga Mwilini (UKIMWI) mpaka unampata binadamu ni kutokana na aina ya maisha anayo ishi. Hivyo hivyo katika Upungufu wa Nguvu za Kiume (UNGUKI) kuna aina fulani ya maisha ambayo mwanaume anaiishi ndio maana hutokea hivyo kama vile kupiga punyeto nakadhalika. Ndio maana kila kukicha watu wanazuka na madawa mbalimbali ya kuongeza nguvu za kiume, inamaanisha nini hiyo? Nguvu hupungua ila kuna uwezekano wa kuzirudisha.

Kama Upungufu wa Nguvu za Kiume (UNGUKI) kuna uwezekano mkubwa wa kurudisha nguvu za kiume iwe vipi Upungufu wa Kinga mwilini (UKIMWI) iwe ngumu kurejesha kinga mwilini? Aina ya maisha tunayo ishi, vyakula tulavyo hupelekea hayo yote kutokea kama tukifuata njia nzuri na sahihi hakika tutakuwa na nguvu na kinga nzuri zaidi.

Kuna watu wanasema Upungufu wa Kinga Mwilini (UKIMWI) hautibiki huo ni uongo mkubwa tena sana. Yaani mnataka kutuambia hakuna madawa ya kuongeza kinga mwilini kweli. Kama Upungufu wa Nguvu za Kiume unatibika basi ata Upungufu wa Kinga Mwilini unatibika pia.

NB: Sijasema UKIMWI haupo, UKIMWI upo yaani Upungufu wa Kinga Mwilini.

MGC
Umeelewa mada lakini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo deception binafsi nashauri akamatwe akakae jela tu maana anaongeza maambukizi
masterplanner Nov 22, 2015
Kaka Deception, mambo vipi? samahani mkuu kwa kukufata inbox, nina problem moja naomba unisaidie kwa ushauri wako Mkuu. Nilipima HIV mwezi wa nne mwaka huu, nilikutwa positive, na nilipima mara 2, lakini sikushtuka kwasababu niliwahi kusoma hizi facts siku nyingi tu. Ila hali ya kuwa positive huwa inanikera sana. Ni udhaifu upi ambao upo nyuma ya vile vipimo vya HIV? na je kuna namna ambayo mtu anaweza ili vile vipimo vimdetect negative? Naomba msaada wako, maana tangu nipime mwezi wa nne sina hamu ya kupima tena, maana naona kama nitajipa stress tu.


Ukiisoma hiyo comment ya mwaka 2015 unaweza elewa namaanisha nn



Sent from my iPhone using JamiiForums
Wewe ndo unatumia ile fimbo ya Asclepius? Ndo maana Deception amejificha, ila wenye akili hatucomment hapa, ili wajinga muendelee kuwa wajinga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
alitufukuza kwenye group lake la whatsap baada ya kum-challenge na hivyo vi uongo uongo wake kuhusiana na mambukizi ya ukimwi
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom