Dec 6 Askofu atakuja kama Winga wa Kulia

Dec 6 Askofu atakuja kama Winga wa Kulia

Anakuja kushambulia kutokea kulia wakati yeye anatumia mguu wa kushoto. Sisi wachambuzi tunamuita "orthodox winger"

Mkono wa Baunsa tunategemea sana japo wamejaribu "kumblack mail" kwa kufungulia kanisa.
Mkono wa baunsa tena!

Acha kufukua makaburi mkuu!

Video hiyo niligoma kuifuta!

Wanaume tunadhalilikaga sana kipindi cha kuukwea mlima waalah!

Mchungaji anaunguruma kama simba kwene kifua cha kahaba!

Hilohilo alilokuwa akiligonga ndiyo lililomrekodi kudadeki😆😃🤣🤣😉
 
Mkono wa baunsa tena!

Acha kufukua makaburi mkuu!

Video hiyo niligoma kuifuta!

Wanaume tunadhalilikaga sana kipindi cha kuukwea mlima waalah!

Mchungaji anaunguruma kama simba kwene kifua cha kahaba!

Hilohilo alilokuwa akiligonga ndiyo lililomrekodi kudadeki😆😃🤣🤣😉
Hehee! Jipange Babu wee. Kesho yafika
 
Ametokota akarojeka. Hajui kilichombele yake. Haehe! Halula! Nilisema soon huu ujinga wakomeshwa. Jazeni ulinzi Chooni. Heheee! Bafuni hehee! Litakufa jitu.

Na bado. Najuzwa Yule askofu sasa ataingia kama sub super akiwa winga ya kulia. Dec 6 kuna Jambo. Semeni nisiseme.

Walahi watu wabaya. Hawajui chuma yatatokea wapi hehee! Miye sijui naigopa walahi. Dec 6. Desimal place 11. Log 19. Barabara ya kumi. Memeee! Habari wanazo. Mjiapize walahi. Na bado
Hatimae ni dakika tu. Moshi mweupe utaonekana.
 
Kufunguliwa, Kuna uwezekano wanaye pia!!! Hivi alishajitokeza kutupa pole?
 
Back
Top Bottom