Nebuchadinezzer
JF-Expert Member
- Oct 1, 2018
- 1,403
- 2,545
Ukiachana na umasikini, jambo jingine linalomshushia mwanaume heshima na kujihisi mpweke ni ukosefu wa nguvu za kiume. Hili limekua tatizo kubwa sana ambalo kwa wengine wamechukulia kama fursa ya kutapeli watu na kuvunja mahusiano ambayo wameyachoka.
Sikh hizi bora ili umunyong'oneze mwanaume..we mwambie "hujanilizisha" utamfanya akili yake iwaze usiku mchana na kujisikia ana hatia sana.
Kuna watu wanaamini kwamba upungufu wa nguvu za kiume ni tatizo la kibaiolojia na kuna wengine wsnasema ni mitazamo ya watu tu. Mfano, Inasemekana wachina wanaogopa kuoa waafrika kwa sababu wanawake wakiafrika wanamaumbile makubwa yaani K zao ni kubwa na wachina wanavibamia yaani MB ndogo!
The floor is yours!!!!
Sikh hizi bora ili umunyong'oneze mwanaume..we mwambie "hujanilizisha" utamfanya akili yake iwaze usiku mchana na kujisikia ana hatia sana.
Kuna watu wanaamini kwamba upungufu wa nguvu za kiume ni tatizo la kibaiolojia na kuna wengine wsnasema ni mitazamo ya watu tu. Mfano, Inasemekana wachina wanaogopa kuoa waafrika kwa sababu wanawake wakiafrika wanamaumbile makubwa yaani K zao ni kubwa na wachina wanavibamia yaani MB ndogo!
The floor is yours!!!!