Deaths in South Africa as mobs target foreigners

Deaths in South Africa as mobs target foreigners

Kama south ingekuwa Rwanda Tanzania Kenya au msumbiji hali ingekuwa mbaya zaidi ya tunavyoona lazima tujifunze kulinda na kuboresha nchi zetu na kama inatokea ukaenda nje basi iwe kwa kazi maalumu na Sio tunaharibu kwetu afu tunaenda kwao na kuwalazimisha watukubali.
 
Nimekaa south Africa 2007/2008 hakuna madai yao ambayo Sio sahihi wanaishi maisha ya shida ajira zao zimechukuliwa na wageni kwa asilimia kubwa na wao kuishiwa kutukanwa(hata na wageni hao kuwa ni wavivu na walevi) wakati hata kazi hizo hawapewi kufanya.

You got it right mkuu
 
Mimi nikikumbuka nguvu kubwa au fedha aloitumia Nyerere kuzisaidia hizi nchi ziwe huru,Mtanzania akupaswa kuguswa katika Afrika,Nanyamaza kimya tu kwa heshima ya Mandela.
Ndugu ukifika cape Durban Jo berg na pretoria ukaona maisha ya hao unaosema hawakupaswa kuguswa utabadili usemi(sorry kama umefika)ila watu wabaya wamewaharibia hata waliokuwa wema kuguswa ni muhim hatukuwasaidia ili baadae tukae kwao na kuchukua ajira zao na kufanya uhalifu ambao unaifanya nchi yao kuchafuka na kuonekana wao ndio wabaya tuliwasaidia ili wawe huru na kuwaachia nchi yao hapakuwa na deni wala mkataba wa makazi tuiboreshe tanzania yetu na kuifanya sawa kwa kila mtu.
 
hata bila haya mauaji SA is a safe place sana sana Joberg
 
hivi hawa wasouth wamesahau kuna ndugu zao nchi zingine afrika. Nimefuata mitandao zao kule facebook wanaongea uharo aisei.
wengi wao wamezaliwa baada ya 1990
hivyo hawajui/kumbuki
kwamba nchi kama tanzania
ilikuwa ni kimbilio lao.
Pia tulichukua maji yetu ya kunywa na kwenda
kuzima moto uliokuwa unawaka kwao.
 
bora ata al shabab asee,nyerere aliwasaidia sn awa jamaa lkn yana roho mbaya km nn,bora ata wangekua wamepakana na somalia
 
Mimi na wachache wengine tunawaelewa vizuri sana South Africans
 
Back
Top Bottom