Deaths in South Africa as mobs target foreigners

Deaths in South Africa as mobs target foreigners

Saidi duani watu wamekuwa wa binafsi sana na kuna watu duniani sisi watu weusi wanatudharau sana tunakimbia nchi zetu kila siku ni sawa nakusema kwasababu nyumbani kwako hauna kitanda ndio uende ukalale kwa jilani yako eti kwasababu jilani yako anakitanda na godoro huo ni upumbavu wa hali ya juu na ndio maana wanachomwa moto ni bora mtu ukakomaa ukalala chini kwa amani na vile unavyo umia ipo siku utapata akili utanunua godoro la kwako kwa mfano tanzania kuna kila kitu lakini tunaenda kujazana nchi za watu kwanini tusikoamae hapa hapa na bongo yetu mbona kuna fursa nyingi tuna aridhi ya kutosha nk sio kila siku kukimbilia nchi za watu dunia saizi ilisha tuchoka
 
Wimbi la Kushambulia na kupora maduka yawageni Afrika Kusini linashika kasi.

Wafanyabiashara wengi wanaishi makambini na familia zao baada ya kuchomwa nakuporw mauka yao

Tayari nchi kadhaa zinaenda kuwaokoa raia wake Mfano Malawi.

Source; BBC


http://www.bbc.com/news/world-africa-32316731

Malawi says it will repatriate its nationals from South Africa, following an upsurge in xenophobic violence.

At least five foreigners, including a 14-year-old boy, have been killed in attacks in South Africa's coastal city of Durban since last week.
Some foreign-owned shops in the main city Johannesburg have shut amid fears that the violence could spread.
Zimbabwe has also condemned the attacks, blamed on locals who accuse foreigners of taking their jobs.
Tens of thousands of foreigners, mostly from other African states and Asia, have moved to South Africa since white-minority rule ended in 1994.


At least 62 people died in xenophobic attacks that swept South Africa in 2008
 
hiyo sio hofu ya foreigners "xenophobia" ila ni hofu ya waafrika wenzao "afrophobia"

Mungu ibariki Afrika
 
Mimi nikikumbuka nguvu kubwa au fedha aloitumia Nyerere kuzisaidia hizi nchi ziwe huru,Mtanzania akupaswa kuguswa katika Afrika,Nanyamaza kimya tu kwa heshima ya Mandela.
 
Hawana shukrani hata chembe watu hawa! Wamesahau jinsi walivyohifadhiwa katika nchi mbalimbali wakati wa Utawala wa Makaburu. Ama kweli tenda wema wende zako!!
 
Watanzania sisi Ni wanafiki. Tunajidai eti tunaupendo kwa watu wote wakati wenyewe kwa wenyewe tunaumizana. Angalia wenye mamlaka na madaraka wanavo fakamia mabilion na huku wananchi hawana hudima muhimu. Wanawapa rasilimali zetu halafu kwenye majukwaa tunalazimishwa tuwe na upendo kwa watu wote. Namkumbuka Sana Mch. Mtilila
 
Wa SA weusi kwa sasa wanaonekana wanafanya ubaguzi kuliko hata walivyofanyiwa na Makaburu.
 
Wanadai wageni wengi sana! Alafu wakhosa walipiga kisu mnaija vurugu zikaanza hapo
durban fujo zmeanza leo asubuhi

Ukiwa nchi za watu unabidi uwe mdogo, upende au usipende. Kwa watu wasioweza kuvumilia hayo mateso wanarudi kwao lakini hii tabia unajifanya mjuaje kwa watu (ugenini) matokeo yake tunayaona sasa.
 
The Bleiz said:
Nawachukia wahindi wanatudharau sana, chama chochote kikija na sera nzuri ya kuwaadabisha hawa watu nitakipigia kampeni.
Tuko pamoja kaka katika hili,Huwezi kuja nyumbani kwetu.Nikakupokea vizuri na ukafanya kazi vizuri tu then ukaanza kunibagulia kwetu utanijua ni nani.Wahindi nchi hii wametufanya mazoba ni kama tumeshawauzia kila kitu "Wahindi ndio wamiliki wa nyanja zote za uchumi tena kupitia RUSHWA......."
 
mimi nko Soth Africa,mji wa Cape town huku shwari,isipokuwa baadhi ya maeneo ndo kuna hyo battle,mfano Durban na Leo owners wa maduka ya bidhaa mbali mbali maeneo ya Cbd Jozi wamelazmika kufunga kutokana na hofu hyo ya Xenophobic,baadhi ya wapumbavu wa mawazo ndo wanaofanya hzo vurugu,poa wana Jf tuko pamoja
 
Mh ingekuwa ni somalia hii kitu ingepewa kick sana
 
Hivi hawa Wasouth wamesahau kuna ndugu zao nchi zingine Afrika. Nimefuata mitandao zao kule Facebook wanaongea uharo aisei.

Kiukweli hawajamaa kuendelea kwao kumekuwa kwa manyanyaso sana, na wasijue hata uwesawa kwanyanja zote ipo siku nawe utakuwa mwenye mapungufu yakusaidiwa na mwingine
 
Nchi nyingi hazitaki wahamiaji...ndio maana kuna ma passport, ma visa, mipaka, work permits etc...
Ila tunatofautiana na jinsi ya ku communicate hii resistance...

Bila wageni hao wa South wasingeitwa wavivu...mwajiri anachagua nani amuajiri, na M South anakuwa last choice sababu ya wahamiaji...tena wengine haramu...

Nimeamua tu kuchangia kwa mtazamo tofauti ...ingawa siungi mkono mauaji lakini suala la kutopenda wageni si la wao peke yao...hata Europe kwa sasa ndio trend...

(hata sisi tunawashughulikia kimtindo japo ni kwa sheria si mabavu...kutumia mabavu ni very wrong)
 
Nimekaa south Africa 2007/2008 hakuna madai yao ambayo Sio sahihi wanaishi maisha ya shida ajira zao zimechukuliwa na wageni kwa asilimia kubwa na wao kuishiwa kutukanwa(hata na wageni hao kuwa ni wavivu na walevi) wakati hata kazi hizo hawapewi kufanya.
 
Hawa wamevurugwa, nilidhani hizi fujo wangewafanyia makaburu ambao wamewaburuza mamia ya miaka.
Nimewadharau sana hawa jamaa.

kama makaburu wameandaa option na mikakati ya kukimbia ikitokea wamevamia na hawa jamaa. hadi jinsi watakavyoondoka makundi makundi.

Serikali iingilie kati kupitia ubarozi wetu na kutafuta jinsi ya kusaidia
makaburu watakimbilia wapi ikitokea wamevamiwa?
 
Back
Top Bottom