utawala wa nchi yetu ni sawa na kifo cha laurent kabila former president of DRC?
kwani, mlinzi mkuu wa kabila ndio alie muua! nasi kinga yetu kuu (kiongozi) ndio inatumaliza amini, usiamini.
Kuna habari katika hii doc zitakufanya ufikiri sana na utafute vyanzo vyengine vya habari kuhusu kifo cha Kabila baba na connections nyenginezo.
http://www.aparecordc.org/forum/galerie/documents/11741265912128.pdf