Dear

Dear

inakuwa kazi bure kivipi hebu mtuhabarishe kwani mnaweza mkubadili hiyo imei number? toa maarifa mtu wa simu.
 
inakuwa kazi bure kivipi hebu mtuhabarishe kwani mnaweza mkubadili hiyo imei number? toa maarifa mtu wa simu.

imei inabadilishika anayenibishia atoe hoja ya kunipinga
 
asante kwa kutuhabarisha ila kifupi cm ikifungwa na provider uwezi kuifungua popote duniani bila kuifungua kwanza kwani itakuwa nitambua provider huyo huyo alofunga unazoona zinakuja uku zinafanya kazi ni mpaka ziunlokiwe au kuflashiwa zinafanya kazi kama kawa ata ikurudi tena uk inafanya kazi

drphone
nazungumzia simu iliyoibiwa ikaripotiwa huwa inafungwa sio simu iliolockiwa to particular network.nafikiri umenielewa.
 
drphone
nazungumzia simu iliyoibiwa ikaripotiwa huwa inafungwa sio simu iliolockiwa to particular network.nafikiri umenielewa.


nimekuelewa mkuu na mm nijb kwa yote yani iloripotiwa na zile zilizolokiwa to one operator mkuu zote system ni moja tu
 
nimekuelewa mkuu na mm nijb kwa yote yani iloripotiwa na zile zilizolokiwa to one operator mkuu zote system ni moja tu


simu iliyokuwa locked to network fulani unaweza kufungua na kutumia hapa hapa uk
lakini simu ILIYOIBWA na kuripotiwa hata ufungue huwezi kuitumia hpa UK unaweza kutumia nje kama TZ,simu ya aina hii hata ukifanikiwa kuifungua fraud unit ya hio kampuni wanajua nani anaitumia(namba) kwa hio wanaweza ku-pinpoint wapi uko au wakaiblock mpaka namba yako.hii ndio tofaauti ya simu ambayo iko just locked to a particular network na ambayo ni reported stolen,
kwahiyo hata ukijua IMEI(ambayo iko hata kwenye risiti uliyonunulia simu) ya simu yako mtu akiipeleka hio simu TZ from UK HAITAKUSAIDIA KITU
 
Back
Top Bottom