Dear Miss Leejay49

Ulichokisoma na kimekukera na ku reply kwa hasia na gubu ni kipi ? ili nikitolee ufafanuzi ?
 
Hapa chini ilibid uambatanishe na uthibitisho wa miamala ili upunguze chance za kupigwa chini
 
Punguza kufuatilia mambo yanawezekana yakawa yanakukera lakini hayakuhusu, Kama jambo unaona linakukera tafuta namna ya kulijibu sio unajibu kwa mihemko na jaziba
Jambo likishakuwa public linanihusu

Sijajibu kwa jazba, bali nimejibu kitu hujakipenda

Ningekuja kwa shangwe sana kama wengine hapo ungefurahi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…