Afrodenzi malaika wangu, upo wap?
Afrodenzi malaika wangu, upo wap?
Mmmmhhhh..
Magulumangu nakuvulia nani liii
"""""Kofia"""""
Jamani jamani Gagurito..
Dedication zote hizi mmmmhhhh
Unanitamanisha mwenzio hahahahahahahah lol
Magulumangu my dearestUsijali mama ni jukumu langu kukumake u feel Alright...just the begining of our safari and will make it...
eeeeeeeee baba tusameheHuyu anataka malumbano Afrodenzi eeehhh?
Magulumangu my dearest
Kweli Mungu kakujalia mmh
Poem, love letters, na kuendelea
Maneno matamu unayo itabidi
Niseme kweli Wifi anaraha mmhh
eeeeeeeee baba tusamehe
kwani hatujui tutendalo
Hahahshhah lol
habari zisizo rasmi zinasema ni wewe. :tape2:huyu Malaika ndo nani tena magulumangu
habari zisizo rasmi zinasema ni wewe. :tape2:
hehehe kuna sredi nyengine ya malaika, Magulumangu kaanzisha kule global publisher, kataja mpaka jina. nenda ukajionee mwenyeweKlorokwin unanitafuta ubaya wewe ...klorokwin unaniharibia swaumu yangu ati.......
hehehe kuna sredi nyengine ya malaika, Magulumangu kaanzisha kule global publisher, kataja mpaka jina. nenda ukajionee mwenyewe
halaf hii " kelele za chura hazimzuii ng'ombe kunywa maji:majani7:" umeiwekea hati miliki?, Mzee Yussuf akiiona nina hakika ataitungia albumhehehehehehe haya bana ..........?
hahahaha naona umeamua kunichekesha .....naandaa album kabla mze yusuph hajaingia studiohalaf hii " kelele za chura hazimzuii ng'ombe kunywa maji:majani7:" umeiwekea hati miliki?, Mzee Yussuf akiiona nina hakika ataitungia album
Hapo red usijali, Magulumangu na malaika washahamia PM, sredi ishafikia lengo sasa tunajitawanya tu. Mimi malaika wangu nasubiri hizi habari za kiama zipungue nimuanzishie sred, hamruhusiwi kuguesshahahaha naona umeamua kunichekesha .....naandaa album kabla mze yusuph hajaingia studio
Lakin wewe Klorokwin magulumangu atatutoa speed kwenye sread yake ..kwani wewe malaika wako ni Lotus ?:biggrin1:
huyu Malaika ndo nani tena magulumangu
habari zisizo rasmi zinasema ni wewe. :tape2: