Kiraka Kikuu
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 5,903
- 1,976
Ee Mungu,unirehemu,
Sawasawa na fadhili zako,
Uyafute makosa yangu.
Unioshe kabisa na uovu wangu,
Unitakase na dhambi zangu.
Maana nimejua mimi makosa yangu,
Na dhambi yangu i mbele yangu daima.
Nimekutenda dhambi wewe peke yako,
Na kufanya maovu mbele ya macho yako.
Wewe ujulikane kuwa una haki unenapo,
Na kuwa safi utoapo hukumu.
Unisafishe kwa hisopo nami nitakuwa safi,
Unioshe,nami nitakuwa mweupe kuliko theluji.
EE MUNGU,UNIUMBIE MOYO SAFI,
UIFANYE UPYA ROHO ILIYO TULIA NDANI YANGU,
USINITENGE NA USO WAKO,
WALA ROHO YAKO MTAKATIFU USINIONDOLEE.
Sawasawa na fadhili zako,
Uyafute makosa yangu.
Unioshe kabisa na uovu wangu,
Unitakase na dhambi zangu.
Maana nimejua mimi makosa yangu,
Na dhambi yangu i mbele yangu daima.
Nimekutenda dhambi wewe peke yako,
Na kufanya maovu mbele ya macho yako.
Wewe ujulikane kuwa una haki unenapo,
Na kuwa safi utoapo hukumu.
Unisafishe kwa hisopo nami nitakuwa safi,
Unioshe,nami nitakuwa mweupe kuliko theluji.
EE MUNGU,UNIUMBIE MOYO SAFI,
UIFANYE UPYA ROHO ILIYO TULIA NDANI YANGU,
USINITENGE NA USO WAKO,
WALA ROHO YAKO MTAKATIFU USINIONDOLEE.