jje's
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 10,886
- 16,584
usiogope anajue wewe ni bae wangu hawezi kukuletea noma kabisa. Haogopi magwepande kwani?Hahaha ntaiweka wapi sura yangu hahaha
usiogope anajue wewe ni bae wangu hawezi kukuletea noma kabisa. Haogopi magwepande kwani?Hahaha ntaiweka wapi sura yangu hahaha
Nimeyapata majibu,ila STUNTER ukiendelea na wivu kama huo utaugua afu ndo utuachie vizuri jje'shahahhahahahaha basi bbyto jaman una wivu? amesema jiran yetu tu lakin sio mimi.
But since I love you, have no option. I will do as you say.
moto wa maji naamin umesikia majibu.
Hahaha wewe muache tu, akizingua tunamteka kwa noah nyeusiusiogope anajue wewe ni bae wangu hawezi kukuletea noma kabisa. Haogopi magwepande kwani?
sasa bbyto unareveal tena aisee, atakuwa kila akiona noah nyeusi anakimbia kama digidigiHahaha wewe muache tu, akizingua tunamteka kwa noah nyeusi
BTW nimekupa uhuru uchague unavyoona vinafaahahahhahahahaha basi bbyto jaman una wivu? amesema jiran yetu tu lakin sio mimi.
But since I love you, have no option. I will do as you say.
moto wa maji naamin umesikia majibu.
pamoja baeBTW nimekupa uhuru uchague unavyoona vinafaa
tushauendea class usituogopeshe hapawengi wana maono mazuri ya maisha ya ndoa ila wanasahau maisha ya ndoa yana changamoto zake, nyie wakina dear future nani nani uhondo wa ngoma ingia kati uicheze
nenda nae visiwani huko najua mtarud tu kpnd anaumwa ndo utakua muda wangu sasaumeonaeeee, heri nikaangalie visiwa vingine si et bae?
Hzo ni mbinu zako za kimapinduzi na kumdhoofisha STUNTER ili aumwe tuenjoy mi nko tayarihakuna mutu kuuugua hapa, STUNTER babyto usihofu, hata mie napenda unionee wivu ati? nitajuaje napendwa?
mkuuwengi wana maono mazuri ya maisha ya ndoa ila wanasahau maisha ya ndoa yana changamoto zake, nyie wakina dear future nani nani uhondo wa ngoma ingia kati uicheze
umeonaaeeeeea bora ubaeleze wajue. wanaona kama ndoa ni kisiwa kingine wakati sivyo. unavyochukulia maisha ndio ndoa yenyewe asikudanganye mtu. penda kuishi maisha ya uhalisia na si kuigiza utatoboa tu hakuna namnamkuu
Nani hajui ndoa zina changamoto....Sio ndoa tu MAISHA kiujumla yanachangamoto kubwa kwahiyo ndoa iko ndani ya MAISHA kwahiyo usitutishe mkuu
Huyo mkuu ametenganisha NDOA na MAISHA akidhani ni vitu tofautiumeonaaeeeeea bora ubaeleze wajue. wanaona kama ndoa ni kisiwa kingine wakati sivyo. unavyochukulia maisha ndio ndoa yenyewe asikudanganye mtu. penda kuishi maisha ya uhalisia na si kuigiza utatoboa tu hakuna namna
hamnaga watu wanafanyeje sijui ndo maana ndoa zinawashinda. tuishi kwa uhalisia tu tutatoboaHuyo mkuu ametenganisha NDOA na MAISHA akidhani ni vitu tofauti
Am gonna love u like am gonna lose u. Ua so sweet darling...Hehehe dear future husband i can't wait to tie a knot with u
Nakupa dedication Dear future husband by Meghan trainor pz isikile dear future husband hahahahahahaha

moto wa maji muulize Behaviourist Atakwambiahamnaga unaota ukiwa unatembea loooh STUNTER bby usimsikilize huyu