Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,850
- 155,804
- Thread starter
- #41
Hivi Xmas ni lini tena?
Teh teh.... hadi inakaribia kuisha!!!
Asante sana Bujibuji ....
Napenda kutuma salamu za xmass na mwaka mpya kwa baba yangu mzee Mwita Maranya akiwa hapo kazini..
Salamu za pili ziende kwa wana MMU wote na chitchat kwa ujumla...
Ujumbe Bujibuji uzaliwe upya na Yesu..
Ningependa kuchagua wimbo wa Feliz Navidad usindikize salamu hizi......
Feliz Navidad
Feliz Navidad
Feliz Navidad
Prospero Año y Felicidad.
Feliz Navidad
Feliz Navidad
Feliz Navidad
Prospero Año y Felicidad.
I wanna wish you a Merry Christmas
I wanna wish you a Merry Christmas
I wanna wish you a Merry Christmas
From the bottom of my heart.
hivi mishahara imesha anza kuingia?