Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 70,985
- 93,995
Wanyakyusa wana mlo wao spesho wa Xmas. Mbalaga na kitimoto vinapikwa pamoja, vinapikwa taratibu sana, usiku kucha. Ni tamu kinoma
mbona kama umesahau kyindi "kimpumu", kasokera na kifughe!!!
Wanyakyusa wana mlo wao spesho wa Xmas. Mbalaga na kitimoto vinapikwa pamoja, vinapikwa taratibu sana, usiku kucha. Ni tamu kinoma
Nina swali la kizushi kama sio maswali
Hivi kwa nini wakati wa christmass, Wabongo karibia wote huwa wanakula pilau? mwenzenu huwa nakula sembe, mbilimbi na kipande cha papa "side mirror"
Mbona nasikia alitumia zaidi ya $ mil 24 kwa ajili ya upasuaji?
Kabla mama ntilie hawajaja, enzi hizoooooo, pilau kilikuwa ndio chakula rasmi cha sikukuuNina swali la kizushi kama sio maswali
Hivi kwa nini wakati wa christmass, Wabongo karibia wote huwa wanakula pilau? mwenzenu huwa nakula sembe, mbilimbi na kipande cha papa "side mirror"
Nami huwa nafuata nyayo zako my daddy.... Sijui wengine!!!!!
Kabla mama ntilie hawajaja, enzi hizoooooo, pilau kilikuwa ndio chakula rasmi cha sikukuu
ulitumia nini? ndundu au kijiko?mi nimekula sana "ingati" hicho kipindi unachosema cha mama ntilie....
ulitumia nini? ndundu au kijiko?
aha haaa umenifurahisha sana"ndundu" kaka...enzi hizo vijiko wanatumia wakoloni tu
huu uhuni sasa, yaani buji anakualika wewetu kisha mumeo anamnyima mwaliko!!
aha haaa umenifurahisha sana
huu uhuni sasa, yaani buji anakualika wewetu kisha mumeo anamnyima mwaliko!!
Wife ndio mkurugenzi mtendaji wa nyumbani,taratibu zote za mialiko,outings etc anapanga yeye.
hivi mishahara imesha anza kuingia?