Deal ya cheti cha NECTA

Deal ya cheti cha NECTA

Wabongo bwana badala ya kuwahi deal nyie mnaponda wacha tule pesa hii dogo mpunga unao fanya mpango uni ibox kaka tufanye biashara kwikwikwiiiii

wajinga ndo waliwao!!!!!!!!!!!!!
 
Acha kabisa always shortcut is wrongcut.
No hurry in Africa sasa wewe unapata wapi
huo ujasiri ndg.
 
Watu wa namna hii wanavyonichefua hapa JF, sijui tupendekeze wawe wanapigwa stop? Imagine huyu anafanikiwa upuuzi wake kama anavyojua yeye kwahiyo watoto watakuwa hawasomi wanajua utatuma JF tu watakupm unalipa hela na kuchukua cheti safi. Ni balaa hili
 
Hey there
Wakuu nahitaji kusafisha cheti changu cha form 4, kuongezea pass 1 tu katika masomo niliyo chemsha.
hii ni ili kuweza kukidhi qualification entry za chuo (certificate level).

natafuta mtu anaye deal au anajua connection na watu wanaoweza kurekebisha mambo kwenye system na wakatoa cheti kingine.

naongelea ku change kabisa matokeo ya nacte sio vile bandia vya mtaani

Nipeni connections.
Since its confidential issue, please reply on PM
wewe ndo fisadi wa kesho.rudia mtihani,ukishindwa fanya kitu cha halali kitakachokuletea mkate wa kila siku
 
Mi naamini huyu si mwanafunzi anayetaka hicho cheti, ni afisa usalama wa NECTA anayetaka kuwabaini hao watu. Kazi nzuri kijana
 
Hey there
Wakuu nahitaji kusafisha cheti changu cha form 4, kuongezea pass 1 tu katika masomo niliyo chemsha.
hii ni ili kuweza kukidhi qualification entry za chuo (certificate level).

natafuta mtu anaye deal au anajua connection na watu wanaoweza kurekebisha mambo kwenye system na wakatoa cheti kingine.

naongelea ku change kabisa matokeo ya nacte sio vile bandia vya mtaani

Nipeni connections.
Since its confidential issue, please reply on PM

umekosa pa kupeleka huu upuuzi wako hadi uulete hapa Jf? This is a wrong place
 
Kunawatu wanapenda sana kupewa majibu ya kashifa,matusi,kejeli, na kudharauliwa. Pia mods kunahaja ya kufuta mambo yasio na tija kwa jamii na Taifa.
 
Daaah hii hali ni mbaya sana!
Nahisi ulistahili kupata sifuri!
Yani hata huu uzi ufutwe kabisa
Ngoja ni waite walimu wako wajionee wenyewe !

Cc snowhite, gfsonwin , Evelyn Salt, Baba V

Hadi nimechoka......!!!
hivi ingekuwa ni kupewa tu hizo pass na kubadilishiwa vyeti kuna haja gani ya kukaa darasani sasa???
kama form four daraja dogo kashindwa kulivuka huko juu anakopataka ataweza kweli???
huyu kweli zuzu.
 
Back
Top Bottom