- Thread starter
- #21
Sidhani, ratiba lazima ifuatwe.Hivi tarehe 14/9 waliosema watatoa majibu je inaweza kuwa mapema kabla ya hapo....
Sidhani, ratiba lazima ifuatwe.Hivi tarehe 14/9 waliosema watatoa majibu je inaweza kuwa mapema kabla ya hapo....
may be according na mchakato wa kazi utakavyokuwa... but dont worry siku zinakimbia 14/9 utaiona kama kesho tuHivi tarehe 14/9 waliosema watatoa majibu je inaweza kuwa mapema kabla ya hapo....
Mbn mm niliaply health na education kwa uwo muhamala mmoja tu!!!. Maybe yawezekana coz mimi niliaply mapema kabsa kabla awajabadirisha amount, maana nililipia 30Tsh ndo maana awakunitaka niongeze tena.Niko nang'ang'ana kufanya application ya education, nilifanya ya health, wananiambia tayari Niko registered sasa nifanyeje wakuu? Ina maana hawaruhusu Ku apply education wakati ume apply health?