Kabla hajakimbia u DC ahakikiwe kama vyeti vyake viko sawa. Maana kwenye ubunge elimu siyo issue.majipu yapo mengi sana yamejificha
Dr Christina Ishengoma alikuwa mbunge wa viti maalu na RC,pia Lukuvi amewahi kuwa Mkuu wa mkoa wa Dodoma na baadae DSM wakati akiwa mbunge wa IsmaniHahaha kifua cha mkwere? Fafanua kdg. Hivi kumbe alikua mbunge viti maalumu? Hivi unaweza kua mkuu was mkoa na mbunge pia. Maana yule gama aliyekua kilimanjaro alijiuzuru u RC ili kugombea ubunge
Duh ahsante kwa taarifaDr Christina Ishengoma alikuwa mbunge wa viti maalu na RC,pia Lukuvi amewahi kuwa Mkuu wa mkoa wa Dodoma na baadae DSM wakati akiwa mbunge wa Ismani
Dada shikamoo.......mbona huitikii salam zangu jamani dada?
Katika hali isiyotarajiwa DC wa Iramba Lucy Mayenga ambaye pia ni Mbunge wa viti maalumu amuomba Rais amuache kwenye uteuzi wa wakuu wa wilaya kwani ukuu wa wilaya umemsababishia biashara zake huko Shinyanga kwenda vibaya.
Hii aliongea wakati alipokutana na UWT huko Shinyanga ambapo inasemekana Waziri Mkuu alivyopita pande hizo Mkuu huyo wa Wilaya alimuomba Waziri Mkuu amwambie Rais asimteue tena.
Mheshimiwa Waziri Mkuu akamwambia asubirie uteuzi mpya na amesema isitafsiriwe kuwa ameshindwa kwenda na kasi ya Rais.
My take:
Inawezekanaje mteule wa Rais aseme sasa kuwa biashara zake zinaenda vibaya kisa ukuu wa wilaya? Je hapo mwanzo hakuliona hilo?
Source: magazeti ya leo.
Mi nitamfaa ni under 35 pia nimesomea business management biashara itaingiza profit maradufu.Anapenda sana vijana wadogo wadogo.
Kweli kabisaKaona hailipi.
Mwaka huu hakuna kubebana vyeo 2 mtu mmoja! Wabunge wote wataukosa u DC: Kina Stella Manyanya na wengine walibebwa sana maana walikuwa wanavuta mishahara 2!