Adharusi
JF-Expert Member
- Jan 22, 2012
- 14,493
- 7,417
Mkuu wa wilaya Simanjiro Brigedia Jenerali Cosmas Kayombo amerudishwa makao makuu ya Jeshi la Wananchi kuendelea na kazi yake na kuiacha nafasi hiyo ya mkuu wa Wawilaya.
Maswali najiuliza..
Alipokuwa mkuu wa wilaya alikua anaingia katika vikao vya CCM kwa nafasi yake,sijui na kadi alishapewa,wanajeshi na maaskari awaruhisiwi kuwa wanachama, sasa itakuaje kwa huyu bwana katika utendaji wake?
Chanzo: gazeti la mwananchi la agosti 2
CC Ritz,H-D na wote CCM wenzangu.
Mimi ni mwanachama wa CCM ila Tanzania kwanza vyama baadae.
"Vox populi,Vox dei"
Maswali najiuliza..
Alipokuwa mkuu wa wilaya alikua anaingia katika vikao vya CCM kwa nafasi yake,sijui na kadi alishapewa,wanajeshi na maaskari awaruhisiwi kuwa wanachama, sasa itakuaje kwa huyu bwana katika utendaji wake?
Chanzo: gazeti la mwananchi la agosti 2
CC Ritz,H-D na wote CCM wenzangu.
Mimi ni mwanachama wa CCM ila Tanzania kwanza vyama baadae.
"Vox populi,Vox dei"