DC Polepole aenda Supermarket na Kundi la Polisi

DC Polepole aenda Supermarket na Kundi la Polisi

Bukanga

JF-Expert Member
Joined
Dec 13, 2010
Posts
2,857
Reaction score
1,937
Waungwana,
Niko hapa Musoma, nilishangazwa sana na kitendo cha Mkuu wa Wilaya ya Musoma Ndg. Humphrey Polepole kwenda kufanya manunuzi katika duka la Alpha Choice akiwa na kundi kubwa la maafisa wa polisi.

Ndugu DC tunakukaribisha Musoma na kukutaarifu kuwa Mkoa wa Mara una amani, hakuna ulazima wa wewe kutembea na mapolisi hata unapoenda sehemu kama hizo...

Ondokana na ile old fashioned paranoia ya kutembea na mapolisi wakati wananchi wanawahitaji hao mapolisi wawalinde mtaani...

Muunge Mkono Rais kwa kubana matumizi kwani kuwa na misafara kwenda shoping ni gharama kubwa kwetu walipa kodi...

Itetendee haki spirit uliyokuwa nayo wakati wa mchakato wa katiba...
 
Mapema mno labda alienda kukagua bidhaa zilizokwisha muda wake,maanawafanyabiashara wengi majipu,ila kama kaenda kwa kujiomesha ametokota ila tumpe muda tuone kazi ya kusaidia wilaya yake mpya
 
Waungwana,
Niko hapa Musoma, nilishangazwa sana na kitendo cha Mkuu wa Wilaya ya Musoma Ndg. Humphrey Polepole kwenda kufanya manunuzi katika duka la Alpha Choice akiwa na kundi kubwa la maafisa wa polisi.

Ndugu DC tunakukaribisha Musoma na kukutaarifu kuwa Mkoa wa Mara una amani, hakuna ulazima wa wewe kutembea na mapolisi hata unapoenda sehemu kama hizo...

Ondokana na ile old fashioned paranoia ya kutembea na mapolisi wakati wananchi wanawahitaji hao mapolisi wawalinde mtaani...

Muunge Mkono Rais kwa kubana matumizi kwani kuwa na misafara kwenda shoping ni gharama kubwa kwetu walipa kodi...

Itetendee haki spirit uliyokuwa nayo wakati wa mchakato wa katiba...
Loh kaz ipo katiba bado anaunga serikali 3 au
 
Habari Kama hizi bila picha, Mara nyingi unakuwaga udaku
 
Ukiona Fisiem wa Dar hana tofauti na wa Serengeti
 
Waungwana,
Niko hapa Musoma, nilishangazwa sana na kitendo cha Mkuu wa Wilaya ya Musoma Ndg. Humphrey Polepole kwenda kufanya manunuzi katika duka la Alpha Choice akiwa na kundi kubwa la maafisa wa polisi.

Ndugu DC tunakukaribisha Musoma na kukutaarifu kuwa Mkoa wa Mara una amani, hakuna ulazima wa wewe kutembea na mapolisi hata unapoenda sehemu kama hizo...

Ondokana na ile old fashioned paranoia ya kutembea na mapolisi wakati wananchi wanawahitaji hao mapolisi wawalinde mtaani...

Muunge Mkono Rais kwa kubana matumizi kwani kuwa na misafara kwenda shoping ni gharama kubwa kwetu walipa kodi...

Itetendee haki spirit uliyokuwa nayo wakati wa mchakato wa katiba...
Picha mkuu, kwa taarfa km hii inakua na umuhim saana
 
Mwezi au wiki, btw huyu jamaa namkubali sana. Anajiamini kupita maelezo!
Mi mwenyewe namkubali..Nikiwa namsikiliza kuna vitu vingi najifunza..Lakini kwa sasa kuna maswali inabidi ayatolee maelezo aisee..
 
hapa bunda tunakula na mkuu wa wilaya ktk restaurant iitwayo A&B na huwa anakuja yeye dereve wake na jamaa yake mmoja hivi... hakuna askari anaye ambatana naye.

sasa huyo polepole naamini hajayazoea mazingira
 
Habari Kama hizi bila picha, Mara nyingi unakuwaga udaku
Msimdanganye, awapige picha polisi bila kibali? Believe me, hii habari ingeletwa na mtu mwingine na heading ingekuwa: "..... kwa kosa la kuwapiga picha polisi wa Polepole."
 
Back
Top Bottom