TANMO
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 11,515
- 11,277
Ni ukosefu wa akili na upumbafu uliopitiliza kufokea fokea watu hata kama umewazidi cheo..Kwahiyo unataka kutusadikisha kuwa kuwafokea watu walioko chini yako kwenye mamlaka ni kosa kwakuwa tu ipo siku wanaweza kukuzidi madaraka...!